Aliesema kosa nani???Acheni Uwoga, mtu kuulizia ramani ili akajenge mjengo kama wa Ikulu si kosa.
This country is full of cowards.
Usimtishe mwenzioKichapo kinakunyemelea
Nimesoma humu Jamii forum GETRUDE LWAKATARE amekataliwa na SERIKALI kuwalipia watu faini ili watolewe GEREZANI, Hivyo kuwa makini na POST YAKO. Utafia kukoooooooooo kijaaaaaana eeeeeeeeeeeHabarini wanajamvi,
Katika hatua za ukuaji wangu, niliwahi kuwa na ndoto za kuja kuishi Ikulu, but as the days go naona hiyo ndoto imepotea kabisa.
So, i want to build my own buildings that will resemble with state house, but my problem is how and where may I get a map of state house so as i can start construction.
Note: Dont confuse about cost, kwa maana naweza jenga hata kwa kutumia miti na majani(ni suala la ubunifu) tu.
post kama hizi zinaichora vibaya idara inayoshughulika na usalamaNimesoma humu Jamii forum GETRUDE LWAKATARE amekataliwa na SERIKALI kuwalipia watu faini ili watolewe GEREZANI, Hivyo kuwa makini na POST YAKO. Utafia kukoooooooooo kijaaaaaana eeeeeeeeeee
Well said mkuupost kama hizi zinaichora vibaya idara inayoshughulika na usalama
mnajenga Picha kuwa hao watu ni wazee wa kuuana n.k
WENZETU WAMEWEKA HADI TUTORIAL ZA KIJESHI YOUTUBE ILA HAPA UNAWEZA KUHOJI MAZOEzi AU MAFUNZO YANAYOPATIKANA JESHINI IKAONEKANA LABDA UNA NIA NYINGINE ISIYO KUWA NJEMA.
Habarini wanajamvi,
Katika hatua za ukuaji wangu, niliwahi kuwa na ndoto za kuja kuishi Ikulu, but as the days go naona hiyo ndoto imepotea kabisa.
So, i want to build my own buildings that will resemble with state house, but my problem is how and where may I get a map of state house so as i can start construction.
Note: Dont confuse about cost, kwa maana naweza jenga hata kwa kutumia miti na majani(ni suala la ubunifu) tu.
Lima chochote badala ya kuangaika na ramani za kukuletea mahangaiko ya moto!!!!!!!!!Mkuu huku niliko hakuna hata jani la mkorosho, na raia hawajui tu