Msaada: Nawezaje kuacha tabia ya kuongea peke yangu?

Mi nilivyo kuwaga shule ya msingi tulikuwa tunaambiwa eti na Mwalimu wa sayansi kila binadamu ana asilimia chache za ukichaa ndani yake, itakuwa we ndo asilimia zako hizo.
 
Mi nilivyo kuwaga shule ya msingi tulikuwa tunaambiwa eti na Mwalimu wa sayansi kila binadamu ana asilimia chache za ukichaa ndani yake, itakuwa we ndo asilimia zako hizo.
Inawezekana pia ..
 
Hahahaha
 
Mpe dudu
 
Labda mtu kaku - set , katika ulimwengu wa roho. Unavyozidi kuongea na huyo mtu anafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…