Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Sijawahi kufatilia subiri nilifanyie Kazi nifatilie account yangu.Okay Asante kwa ufafanuzi, Naskia lile gawio linaloingia kwenye account ni kwa siku za kazi tuu yan ( Monday to Friday) so kwa public holyday vp? Mfano J3 ni Eid, Means kuanzia leo Jumamosi mpaka Jumatatu, hela ya mtu ita stuck, then Jumanne ndo ile percent itaendelea kuongezeka?