Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Na mwezi ufatao wanaongeza 1% ya 3,060,300Unapata ongezeko la asilimia moja ya 3,030,000 ambayo ni sawa na 30,300.
Nadhani itakuwa jumla ni 3,060,300/=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwezi ufatao wanaongeza 1% ya 3,060,300Unapata ongezeko la asilimia moja ya 3,030,000 ambayo ni sawa na 30,300.
Nadhani itakuwa jumla ni 3,060,300/=
Utt si wanazo taarifa ya account yako ya bank.Mbona ktk menu sikuona sehemu ya kuingiza bank acc?
Ah hapo sawa. WanayoUtt si wanazo taarifa ya account yako ya bank.
Yeah compuonding interest ni nzuri sana.Na mwezi ufatao wanaongeza 1% ya 3,060,300
Unapata ongezeko la asilimia moja ya 3,030,000 ambayo ni sawa na 30,300.
Nadhani itakuwa jumla ni 3,060,300/=
Sure MkuuEeh hebu jaribu kwa 300M uone 1% yake itakuwaje?[emoji16] Hii mifuko ni mizuri kwa mtu ambaye walau ana Billion 2 au 3. Anaweza kuishi maisha yake yote yaliobaki anakula na kulala tu. Akiamka anaenda GYM.
Kumbuka hapo hufukuzani na TRA wala Manispaa mkuu. Hii mifuko ni mizuri sana kuwekeza ilihali u kijana ili ukizeeka gawio linakuwa refu tayari.
Kabla hujaamua kufanya chochotee itafute kwanza Elimu yake.Mkuu naswali jingine ujue mm sijui chochote !!
Unachaguaje hizi acc
Kigezo gan cha kuzingatia wakat wa kuchagua
Ukideposit kwa simu ina makato, ni kama unavyolipia control number.Umenijibu kwa usahihi, shukrani. Na vipi kuhusu ku deposit kwa njia ya simu kuna makato?
Kijana penda riskEeh hebu jaribu kwa 300M uone 1% yake itakuwaje?😁 Hii mifuko ni mizuri kwa mtu ambaye walau ana Billion 2 au 3. Anaweza kuishi maisha yake yote yaliobaki anakula na kulala tu. Akiamka anaenda GYM.
Kumbuka hapo hufukuzani na TRA wala Manispaa mkuu. Hii mifuko ni mizuri sana kuwekeza ilihali u kijana ili ukizeeka gawio linakuwa refu tayari.
Ndo nilikua natafutia hapaKabla hujaamua kufanya chochotee itafute kwanza Elimu yake.
#YNWA
Kwa wazoefu aisee ni raha ila usipo kua mzoefu maumivuKijana penda risk
Hizo mbio na TRA, Manisipaa, Fire, TMDA, TBS na Competitors ndio utamu wenyewe wa biashara
#YNWA
Nimejaza alhamisHiyo hela watakuingizia kwenye account yako ya bank. Ofisi kujaza fomu kuanzia mil 3
Hv ukisha fungua account ya bond kwa 50k, kiwango cha chini cha nyongeza ni sh ngapKufungua liquid ni 100k
Bond ni 50k
Anytime kuongeza kiwango uwezacho.. ila nadhani isiwe chini ya 5000/10,000
Umoja sjui
Watoto fund sijui
5000Hv
Hv ukisha fungua account ya bond kwa 50k, kiwango cha chini cha nyongeza ni sh ngap
Inakwisha Halafu Akichukua Bank Statement Anakuta Ufafanuzi Namna Bank Iliyoitumia Pesa Yake Kwa UsahihiIweke bank… kama hujakuta iko below 3m
Hyo laki kwa mwezi ni kwa aliye weka Mil 10. Yaan mil 2 tu upate laki moja kwa mwezi? Uko serious kweli?ukiwa na million mbili mfuko gani mzuri wakuwepa pesa japo nipate 100k kwa mwezi?
Kwa bank haina makato?Ukideposit kwa simu ina makato, ni kama unavyolipia control number.
#YNWA
duh! yaani uweke 10m ndio upate laki kwa mwezi!! mbona wanatuminya sasaHyo laki kwa mwezi ni kwa aliye weka Mil 10. Yaan mil 2 tu upate laki moja kwa mwezi? Uko serious kweli?