Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Inategemea na soko la siku husikaKwaiyo bei ya kuuza na kununua ni sawa
Kuna muda inapanda
Kuna muda zinapishana au kulingana km hivyo
Kuna muda inashuka kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na soko la siku husikaKwaiyo bei ya kuuza na kununua ni sawa
Kwaiyo siku nzuri ya kutoa ni siku gani soko likipanda au likishuka?Inategemea na soko la siku husika
Kuna muda inapanda
Kuna muda zinapishana au kulingana km hivyo
Kuna muda inashuka kidogo
LikipandaKwaiyo siku nzuri ya kutoa ni siku gani soko likipanda au likishuka?
Aisee hizi basic nilikua sijui kabisaLikipanda
Hongera 😅😅😅Leratoo nimefanikiwa dada 😂😂😂View attachment 3003369
Leratoo nimefanikiwa dada [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3003369
kahela kadogo jaman
1% monthly
Kama utakuwa na 3m means itaongezeka elf 30… utakuwa na 3,030,000. Next month tena inaongezeka 1% yake hivyo hivyo kadri salio lako linavyopanda
Hapana. Nawithdraw elf 1Sasa ulivyo jua si utakuwa unainyofoa sana mpaka utajikuta imeisha.
Mfano.Bi mana mwezi unao fuata nitapata asilimia 1 ya hiyo 3,030,000 sio tena 3,000,000?
Mfano.
Ukianza na 100k mwisho wa mwezi si wanaongeza 1% yake. Inakuwa 101,000.
Mwezi unaofata wanaongeza 1% ya hiyo 101,000 hivyo hivyo inaendelea
Hamna makatoUmenijibu kwa usahihi, shukrani. Na vipi kuhusu ku deposit kwa njia ya simu kuna makato?
Hamna makato
Hata kuitoa UTT hamna makato.
Makato ikija ktk cm yako sasa/ bank kuitoa ndio makato
Ngoja nipate shule vizuri nijichomoe akili.Eeh kaa tu kwa kutulia utaelewa
Eeh hebu jaribu kwa 300M uone 1% yake itakuwaje?😁 Hii mifuko ni mizuri kwa mtu ambaye walau ana Billion 2 au 3. Anaweza kuishi maisha yake yote yaliobaki anakula na kulala tu. Akiamka anaenda GYM.kahela kadogo jaman
Kutoa ndiyo kuna njia hii ya kutolea kwa simu nimejuzwa na Leratoo nipo kuitest nione salio likija.Shukrani, tofauti na kuchukulia pesa kwa njia ya simu ama banki naweza kwenda ofisini kwao nikachukua/kuweka mzigo?
Hiyo hela watakuingizia kwenye account yako ya bank. Ofisi kujaza fomu kuanzia mil 3Kutoa ndiyo kuna njia hii ya kutolea kwa simu nimejuzwa na Leratoo nipo kuitest nione salio likija.
Kwao unaenda wanakupa form unajaza. Kisha unaziacha hapo unangoja kupokea pesa through ur bank
Kudeposit ofisini kwao sidhani
Ila mm natumiaga crdb kufanya transfer
Unapata ongezeko la asilimia moja ya 3,030,000 ambayo ni sawa na 30,300.Bi mana mwezi unao fuata nitapata asilimia 1 ya hiyo 3,030,000 sio tena 3,000,000?
Mbona ktk menu sikuona sehemu ya kuingiza bank acc?Hiyo hela watakuingizia kwenye account yako ya bank. Ofisi kujaza fomu kuanzia mil 3