Nyamtala Kyono
Senior Member
- Sep 23, 2010
- 163
- 34
- Thread starter
- #21
next question itakuwa ni hatua gani ntachukua kwa scenario hizi zifuatazo:
1.ikiwa eneo lina madini na linamilikiwa na mtu au kikundi-kwa maana ya lina allocation na wizara na
2. ikiwa eneo lina madini na halina mmiliki lakini linatambuliwa na wizara na
3. ikiwa eneo lina madini na halijulikani na wizara na
4. ikiwa eneo haliko kwenye geological map kwa hivyo haijulikani kama lina madini au la je nawezaje kupima kujua kama kuna madini
1.ikiwa eneo lina madini na linamilikiwa na mtu au kikundi-kwa maana ya lina allocation na wizara na
2. ikiwa eneo lina madini na halina mmiliki lakini linatambuliwa na wizara na
3. ikiwa eneo lina madini na halijulikani na wizara na
4. ikiwa eneo haliko kwenye geological map kwa hivyo haijulikani kama lina madini au la je nawezaje kupima kujua kama kuna madini