Msaada: Nawezaje kujua kama ardhi yangu ina madini?

Msaada: Nawezaje kujua kama ardhi yangu ina madini?

next question itakuwa ni hatua gani ntachukua kwa scenario hizi zifuatazo:
1.ikiwa eneo lina madini na linamilikiwa na mtu au kikundi-kwa maana ya lina allocation na wizara na
2. ikiwa eneo lina madini na halina mmiliki lakini linatambuliwa na wizara na
3. ikiwa eneo lina madini na halijulikani na wizara na
4. ikiwa eneo haliko kwenye geological map kwa hivyo haijulikani kama lina madini au la je nawezaje kupima kujua kama kuna madini
 
Hapana...QDS hazionyeshi nani anayemiliki eneo. Ili ujue kama eneo linamilikiwa au la...cha msingi ni kuchukua coordinates za eneo husika ili uzipeleke ofisi za madini ndipo watakwambia kama lina mtu/kampuni au la.

Ukienda bila coordinates itakusumbua coz itabidi uwaombe muende site ili wachukue coordinates then wakaziingize kwenye database waone status ya eneo ikoje. Tatizo la njia hii ya kuwategemea wao ni URASIMU!!!
Watakuzungusha sana.

gwamahala...naomba uje huku unijibu kuna maswali nimekuongezea
 
Back
Top Bottom