Hapana...QDS hazionyeshi nani anayemiliki eneo. Ili ujue kama eneo linamilikiwa au la...cha msingi ni kuchukua coordinates za eneo husika ili uzipeleke ofisi za madini ndipo watakwambia kama lina mtu/kampuni au la.
Ukienda bila coordinates itakusumbua coz itabidi uwaombe muende site ili wachukue coordinates then wakaziingize kwenye database waone status ya eneo ikoje. Tatizo la njia hii ya kuwategemea wao ni URASIMU!!!
Watakuzungusha sana.