Msaada: Nawezaje kujua kama mimba haijatoka yote au Hospitali gani naweza kusafishwa?

Msaada: Nawezaje kujua kama mimba haijatoka yote au Hospitali gani naweza kusafishwa?

thnea

New Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Habari,

Naomba kuuliza mimba iliyotoka na nimebleed siku 6 mfululizo, je naweza nikawa nina mimba tena? Mimba iliharibika week iliyopita.
 
Pole sana, nasikia Maria Stopes ipo Mwenge ndio wakali wa hizo kazi. Ila pia unaweza kuangalia hospitali nyingine yoyote nadhani wanasafisha.

Ugua pole.
 
Si rahisi kusema mimba imetoka kwa kuambiwa tu, labda ambayo umeona kiumbe.

Mambo ya uzazi ni kama sheria, kuna vigezo kufikia kusema hiki ni nini na au siyo nini. Ikiruka vigezo na mashartna masharti unajikuta kwingine.
1: Kujua umri wa mimba
2: Majibu ya ultrasound
3: Umri na hali ya ujauzito inaweza kuwa kigezo cha kusafisha au la.

NB: Fika kituo cha afya ili kufuata mtililiko ili kujua wapi unastahili kuwa kwenye hili.
 
Back
Top Bottom