Habari Wadau,
Najua Kila Mmoja Wetu Anajua Au Ameshawahi Kuwaona Wapiga Nondo Wanavyokuwaga Na Viuno Vidogo - Yaani Kifua Daraja Wakati Kiuno Sindano.
Sasa Nawezaje Kubalance Haya Mazoezi, Na Kama Mtu Akinisaidia Kunielekeza Mazoezi Kama Ya Wachina Itakuwa Poa, Maana Wao Mazoezi Yao Miili Yao Inabaki Kawaida Lakini Mikakamavu.
fanya aerobics (mazoezi ya viungo) au kirahisi zaidi fanya mazoezi ya kukimbiaYaani binafsi napenda mazoezi yaufanya mwili wangu uwe kama wa Wachina ( Umbo la kawaida ila kakamaa ) au wachezaji siyo kama ya wapiga mieleka
Ni kweli mkuuMkuu ukienda gym hakikisha unatrain viungo vyako vyote, pangilia ratiba ya ku train misuli mbalimbali.. Weka ratiba ya kufanya mazoezi ya kifua,mgongo,mkono(biceps and triceps), shoulders na muhimu sana miguu, pamoja na misuli midogomidogo kama tumbo
Kila zoezi lipe kipaumbale, usirudie rudie misuli aina moja kila siku, at least unaweza ku train kila msuli Mara 2 kwa wiki kama muda unaruhusu
Ukizingatia hayo utakua na mwili ulio na mpangilio, tatizo wengi kila siku anapiga kifua na mkono, mguu hajawahi kugusa,lazima uwe kituko
Ukiwa gym kila zoez lina impact zake kwa mwiliHabari Wadau,
Najua Kila Mmoja Wetu Anajua Au Ameshawahi Kuwaona Wapiga Nondo Wanavyokuwaga Na Viuno Vidogo - Yaani Kifua Daraja Wakati Kiuno Sindano.
Sasa Nawezaje Kubalance Haya Mazoezi, Na Kama Mtu Akinisaidia Kunielekeza Mazoezi Kama Ya Wachina Itakuwa Poa, Maana Wao Mazoezi Yao Miili Yao Inabaki Kawaida Lakini Mikakamavu.
Karibu upate dumbbellsHabari Wadau,
Najua Kila Mmoja Wetu Anajua Au Ameshawahi Kuwaona Wapiga Nondo Wanavyokuwaga Na Viuno Vidogo - Yaani Kifua Daraja Wakati Kiuno Sindano.
Sasa Nawezaje Kubalance Haya Mazoezi, Na Kama Mtu Akinisaidia Kunielekeza Mazoezi Kama Ya Wachina Itakuwa Poa, Maana Wao Mazoezi Yao Miili Yao Inabaki Kawaida Lakini Mikakamavu.
Hahahah Nondo zetu local zile za zege afu mnajikusanya wana tu ata hamjui kanuniHao wanavamia mazoezi!!! Unakuta mtu anaenda gym kila siku ananyanyua mivyuma tu kwa mikono... Kila kiungo katika mwili kinapewa kipaimbele... Unaweza pangilia leo nafanya mazoezi ya kufua, kesho tumbo, keshokutwa miguu, inayofuata mgongo etc. Sa ukijibebea tu vyuma bila kujua ni nini unajenga ndo unatoka na shepu kama nyigu!
Johnny bravoMimi Sitaki Kuwa Kifua Daraja Kiuno Kidogooo