Msaada: Ndugu yangu (22) kaanza ubabe kwangu (31), kisa karefuka na anabeba vyuma

Tulia hivyo hivyo mkuu umri namba tu.

Muwekee vikwazo vya kutokunywa maji
 
Kuna viheshima flani napewa eti kwa sababu mi mrefu😅😅😅😂😂

watu warefu oyee
 
Heshima pesa mjini.

tafuta hela sana utaonekana mrefu, utaonekana handsome, utaonekana unajua kila kitu.
 
Najaribu kufikiria nyuzi zitakazokuwa zinatumwa humu baada ya miaka 10 au 15 ijayo,maana dlili ya nyuzi zinazoonekana za sahivi ni kituko.
 
Baadhi ya wanyanyua vyuma huwa ni wajinga sana, na mimi miaka fulani kuna jamaa tulikuwa tunaishi nae, basi ikawa akitoka kunyanyua vyuma anaanza kutuchokoza bila sababu.

Nilimwambia piga gym kwa faida yako mwenyewe, na usiwe kero kwa watu wengine. Huu ugali na misosi mingine unayoipata hapa ya kutosha ungeendelea hivi utaanza kushindia uji tuone na mavyuma yako utafika wapi.
 
Jiue mkuu
 
Pole ila ukimchekea chekea siku atakushika tar core afu ikawa fedheha!!
 
Amekutekenya ukasetuka na ukamchekea tu sasa subiri dole la makalio ndio utajua huyo baunsa mwitu anachotaka kukufanya.

Sasa endelea kumchekea Kuna siku atakupiga kabali akukule mzigo halafu uje uchekecheke tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…