Msaada: Ndugu yangu ambaye ni hakimu anataka kunitapeli mirathi

Ushauri mzuri kama ninaompa Mimi japo haupokei.

Dogo aludi kwenye familia atasaidiwa vizuri

Wewe ni mnafikii, mwanzo umekuja na vitisho bila kujibu hoja,na tayari ktk red hapo umeonyesha tayari wewe ni ndugu yangu na unamtetea huyo aliyekula hela kwa sababu unazozijua wewe.

 
Huyu ndomyana hana jipya, nadhani ni B.M mwenyewe kaja kujisafisha maana hajajibu hoja hata moja.
Mimi Nipo tayari kumwaga mboga hapa Alafu aje aseme kama ushahidi nitakão uweka hapa ni feki????

Ndugu Micrisoft, ushauri uliopata hadi sasa unatosha, ni uamuzi wako kuchukua hatua unazoona zinafaa. Huna haja tena ya kuendelea kuanika mambo yako humu. Kwa ushauri wangu mimi wasiliana(inbox) na Mwanasheria Petro E. Mselewa na/ au Englishlady.
 
Ndugu Micrisoft, ushauri uliopata hadi sasa unatosha, ni uamuzi wako kuchukua hatua unazoona zinafaa. Huna haja tena ya kuendelea kuanika mambo yako humu. Kwa ushauri wangu mimi wasiliana(inbox) na Mwanasheria Petro E. Mselewa na/ au Englishlady.

Ukweli haina haja ya kufichwa.
Sina shaka na ninachokiweka hapa as long as ni ukweli.

Kwa faida ya watu wengi kujifunza ni vizuri majadiliano yote yawe ya wazi.
 
Wewe ni mnafikii, mwanzo umekuja na vitisho bila kujibu hoja,na tayari ktk red hapo umeonyesha tayari wewe ni ndugu yangu na unamtetea huyo aliyekula hela kwa sababu unazozijua wewe.
Nashukuru na nimenawa mikono na unafiki wangu. Asante
 
Basi kuna kitu hakipo sawa aiseeeee.....
Na kama unacho taka ni pesa yako, basi chukua....

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app


Pambana na hali yako niache nipambané na huyu mwizi aliyevaa joho lá hakimu.

au kakutuma????au Ww nyumba ndogo yake ambae ulifaidi hela ya kumdhulumu mtoto aliyefiwa???
 
Pambana na hali yako niache nipambané na huyu mwizi aliyevaa joho lá hakimu.

au kakutuma????au Ww nyumba ndogo yake ambae ulifaidi hela ya kumdhulumu mtoto aliyefiwa???
Mkuu kweli inawezakana ukawa na madai ya msingi lkn KIMDOMO CHAKO KITAKUPONZA USHINDWE KUPATA MSAADAhivi kweli unamwita [HASHTAG]#Ushimen[/HASHTAG] nyumba ndogo baba mdogo!?,
 
hahahaaa.
hayo mambo ya urithi na masuala ya mahakamani sitaki hata kuyasikia.nimedhulumiwa urithi wenye thamani si chini ya mil 200.
nimeamua kumuachia mungu ahukumu.
NDUGU SIO.
pambana.ila unatakiwa uwe na roho ya paka
usipotumiwa majambazi utarogwa.
 
Kawaida mkuu, tunakufa mara 1 tu
 
Mkuu kweli inawezakana ukawa na madai ya msingi lkn KIMDOMO CHAKO KITAKUPONZA USHINDWE KUPATA MSAADAhivi kweli unamwita [HASHTAG]#Ushimen[/HASHTAG] nyumba ndogo baba mdogo!?,
Huyu jamaa wivu wa kike unamsumbua
 
Pambana na hali yako niache nipambané na huyu mwizi aliyevaa joho lá hakimu.

au kakutuma????au Ww nyumba ndogo yake ambae ulifaidi hela ya kumdhulumu mtoto aliyefiwa???
Unapoomba msaada ya kupasa kuwa mpole na kusikiliza ushauri kisha uuupime na kuamua lipi bora.

Ila kwa hulka hii ya kutukana na kujibu hovyohovyo no wonder ndugu wamekuacha upambane peke ako.

Haki haitafutwi kwa jazba hivo dogo. Jazba itakufanya ukose msaada na kupoteza haki.
 
Hahahahahahaha daaah huu uzi umenichekesha sanaa, nna hakika english lady na uyo BM ni mtu mmoja anatumia id mbili tofauti na nna uhakika hamna nia nzuri na Microsoft.

Microsoft mimi ni mwanasheria, nakushauri wala hata usiogope kwenda mahakama hio ya mwanzo kumtengua kua msimamizi wa mirathi uyo BM kabla haujamfungulia mashtaka mengine ambayo nayo tutakushauri baadae nini cha kufanya na kukupa hoja madhubuti... Hao hawana nia nzuri wanakutisha et utapoteza haki yako mahakamani kila kitu kiko wazi na tunatumia sheria ambazo zimeandikwa kila kitu hatua zote na kipi cha kufanyika, sasa wewe una madai ya mirathi mtu anakushauri uende RITA kulalamika hahahahahahahahah
 

Wewe acha uhuni wewe
 
Asanteni wote mlionipa ushauri hapa na PM.
Ushari wenu naufanyia kazi na naahidi kuleta feedback.
 
hatua ya mwanzo ni kutengua msimamizi wa mirathi na hoja kuu ni kufuja mali ya marehemu anaweza kuhonga au kutumia ushawishi mahakama za chini kama mahakama ya mwanzo au wilaya lakini kadri unavyopanda juu ndio utapata haki zako huna haja ya kuajili mwanasheria kwa mahakama ya mwanzo au wilaya baada ya hapo atatakiwa kulipa pesa zote alizofuja
 
Mimi sio wa mbeya city umenifananisha. Ila naomba sana urudi kwenye familia watakusaidia Microsoft huku utamumbua tu na kumchafua na kumwaribia. Tafadhali sana usitumie hasira ndugu yangu

Nakubariana kwanza aanze na familia, pili yeye mwenyewe awe msimamizi wa mirathi, tatu kama kuna pesa imechukuliwa inabidi ilipwe haraka.

Ikishindikana afungue case, ikiwa ngumu sana kupata haki yake basi ubabe kwa ubabe. Watu wengine hawaelewi lugha nyingine yoyote.
 
Asante kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…