Msaada: Ndugu yangu ambaye ni hakimu anataka kunitapeli mirathi

Duh wa hakim wa ilala kandikiwa uzi mwez hauish leo kashavuta


Sasa huy asilogwe asijekufa na deni la.watu anapaswa kulipa

Hapana, hajafa..yupo hai bado
Hapo katika red umenikumbusha mbali.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜‘
 
mtafute mng'oa kucha atakusaidia...😱😱😱😱😱😱
 
!
 
Microsoft
Suala lako hili limeishia wapi?
Nataka kujua kwa sababu Nina rafiki yangu ambaye pia anakabiliwa na tatizo kama lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…