Msaada: Ndugu yangu ambaye ni hakimu anataka kunitapeli mirathi

Msaada: Ndugu yangu ambaye ni hakimu anataka kunitapeli mirathi

Duh wa hakim wa ilala kandikiwa uzi mwez hauish leo kashavuta


Sasa huy asilogwe asijekufa na deni la.watu anapaswa kulipa

Hapana, hajafa..yupo hai bado
Hapo katika red umenikumbusha mbali.
😀😀😛😡
 
Sawa mkuu....
Nina maswali mbili hapa ambazo zipo nje ya mada tafadhali.....
Sina hakika kama kwako yatakua na maana sana, lakini kuna mambo ambayo yangependeza kama utatuweka sawa ili nasisi tujifunze kupitia wewe.

1. Mwaka 2014, wewe ulikua unasoma chuo mwaka wa ngapi na je ilikua unachukua Certificate/Diploma/Degree or Marsters?

2. Mwaka 2011 ulikua unasoma O-level/A-level or tayari ulikua umesha jiunga chuo?

Thanks,
Regards,
Ushimen.
!
 
Microsoft
Suala lako hili limeishia wapi?
Nataka kujua kwa sababu Nina rafiki yangu ambaye pia anakabiliwa na tatizo kama lako
 
Back
Top Bottom