Msaada ndugu zangu, baba hanitaki kwake kisa naipenda CCM

Msaada ndugu zangu, baba hanitaki kwake kisa naipenda CCM

Kwanza nimpongeze baba yako kwa kujitambua maana kuwa ccm huku unaishi kwake ni kuleta laana kwenye nyumba yake afu alitakiwa aku Amber ruthy kabla ya kukufukuza ww huoni sera mbovu za ccm ndio zimesababisha ukose ajira
 
We umeshafail maisha yani kwa umri huo bado upo home tena ukiwa na akili za ki ccm. Endelea tu kula ugali wa baba yako huku ukisubiri kupata zali kama la babu wa loliondo maana akili zilizokufikisha hapo ulipo haziwezi kukutoa hapo labda ubadilike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba anajuta 31 yupo nyumbani. Ada alilipiwa na Mama yake. Mkuu vipi pitia abdiko nujta kwa nukta ongeza na umri wa mleta mada utagundua ni mtoto wa Mama from BAVCHAA.
Mkuu, Bavicha inakujaje hapa ?, hiyo kijana si amekwambia yeye ni ccm na ndio maana babake anataka kumtoa roho kwa koleo ?!, huyu kijana amechanganyikiwa, hajui haya matatizo yakiwemo ya kwake yamesababishwa na li ccm, babayake yuko sahihi kwa sbabu ameona mengi kuliko huyo dogo, huu uzi angeupeleka kwenye corridor za Lumumba, kwani wao ndio waliomtoa akili.
 
Mkuu, Bavicha inakujaje hapa ?, hiyo kijana si amekwambia yeye ni ccm na ndio maana babake anataka kumtoa roho kwa koleo ?!, huyu kijana amechanganyikiwa, hajui haya matatizo yakiwemo ya kwake yamesababishwa na li ccm, babayake yuko sahihi kwa sbabu ameona mengi kuliko huyo dogo, huu uzi angeupeleka kwenye corridor za Lumumba, kwani wao ndio waliomtoa akili.
Kwani Bavicha ndio BAVCHAA?
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar

Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu mzazi)

Baada ya kumuambia mazuri yaliofanywa na serikali ya awamu ya 5 na 4

Baba yangu aliniambia kama nataka siasa niondoke kabisa nyumbani kwake niende huko kwenye chama changu nikafanye siasa

Kuna kipindi nilipewa kazi na mjumbe niorodheshe majina ya wanachama wapya wa CCM, nikaenda nyumbani kuanza nimshawishi mzee achukue nae kadi, huwezi amini baba yangu mzazi wa kunizaa alinishikia koleo akitaka kunipiga nalo usoni

Sikulala nyumbani siku mbili akiniambia kama nataka mambo ya CCM nihame kabisa kwakwe na nisikanyage

Mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, ngazi ya degree kwa sasa sina kazi nipo home nimemueleza mzee wangu jana usiku kuwa nahitaji kugombea udiwani mwaka huu kwa tiketi ya CCM, nikaomba awe na kadi ya chama ili anipe support mimi mtoto wake kwenye kura za maoni

Baba yangu alitaka kunipiga na panga, na anasema niondake kwake haraka sana na nisikanyage tena,

Wakuu sina pa kwenda na hapa ndio nyumbani kwetu

Baba yangu anachofanya sio hekima kabisa, naombeni mnisaidie nipate haki yangu ya kukaa kwetu wakuu

Natanguliza shukrani sana, Mungu awabariki

Sent using komputa mpakato
Ningekuwa mimi Baba yako ningeondoa kwanza hilo godoro unalolalia nakuliweka stoo kwa ajili ya wageni, halafu ningekuondoa kwenye orodha ya watoto wanaotakiwa kula chakula hapo nyumbani, ili kula ugali wa mzee wako halafu unaleta mambo ya kijinga eti ccm, babako nae amezidi upole, alikukosaje na hilo koleo ?!, hiyo degree yako !!
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar

Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu mzazi)

Baada ya kumuambia mazuri yaliofanywa na serikali ya awamu ya 5 na 4

Baba yangu aliniambia kama nataka siasa niondoke kabisa nyumbani kwake niende huko kwenye chama changu nikafanye siasa

Kuna kipindi nilipewa kazi na mjumbe niorodheshe majina ya wanachama wapya wa CCM, nikaenda nyumbani kuanza nimshawishi mzee achukue nae kadi, huwezi amini baba yangu mzazi wa kunizaa alinishikia koleo akitaka kunipiga nalo usoni

Sikulala nyumbani siku mbili akiniambia kama nataka mambo ya CCM nihame kabisa kwakwe na nisikanyage

Mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, ngazi ya degree kwa sasa sina kazi nipo home nimemueleza mzee wangu jana usiku kuwa nahitaji kugombea udiwani mwaka huu kwa tiketi ya CCM, nikaomba awe na kadi ya chama ili anipe support mimi mtoto wake kwenye kura za maoni

Baba yangu alitaka kunipiga na panga, na anasema niondake kwake haraka sana na nisikanyage tena,

Wakuu sina pa kwenda na hapa ndio nyumbani kwetu

Baba yangu anachofanya sio hekima kabisa, naombeni mnisaidie nipate haki yangu ya kukaa kwetu wakuu

Natanguliza shukrani sana, Mungu awabariki

Sent using komputa mpakato
Msiba mkubwa kwa Taifa, miaka 31 bado unaishi kwa wazee. Halafu uataka upende unachotaka wewena sio wanachopenda wazazi wako? Basi nenda kamuone Bashite kama uko Dar, sihasha ukaunganishwa na kundi la watu wasiojulikana
 
Back
Top Bottom