machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Mi niliondoka nyumbani na miaka 16,Sasa sijui we unangoja nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni hatari sana
Ndio tumekuja sasa, atajuta.[emoji23][emoji23] humu ulipokimbilia napo sipo bado kuna roho za watu wapo Kama baba yako na kwa huo umri haha! Subiri waje utajuta..
Mkuu, Bavicha inakujaje hapa ?, hiyo kijana si amekwambia yeye ni ccm na ndio maana babake anataka kumtoa roho kwa koleo ?!, huyu kijana amechanganyikiwa, hajui haya matatizo yakiwemo ya kwake yamesababishwa na li ccm, babayake yuko sahihi kwa sbabu ameona mengi kuliko huyo dogo, huu uzi angeupeleka kwenye corridor za Lumumba, kwani wao ndio waliomtoa akili.Baba anajuta 31 yupo nyumbani. Ada alilipiwa na Mama yake. Mkuu vipi pitia abdiko nujta kwa nukta ongeza na umri wa mleta mada utagundua ni mtoto wa Mama from BAVCHAA.
Kwani Bavicha ndio BAVCHAA?Mkuu, Bavicha inakujaje hapa ?, hiyo kijana si amekwambia yeye ni ccm na ndio maana babake anataka kumtoa roho kwa koleo ?!, huyu kijana amechanganyikiwa, hajui haya matatizo yakiwemo ya kwake yamesababishwa na li ccm, babayake yuko sahihi kwa sbabu ameona mengi kuliko huyo dogo, huu uzi angeupeleka kwenye corridor za Lumumba, kwani wao ndio waliomtoa akili.
Ningekuwa mimi Baba yako ningeondoa kwanza hilo godoro unalolalia nakuliweka stoo kwa ajili ya wageni, halafu ningekuondoa kwenye orodha ya watoto wanaotakiwa kula chakula hapo nyumbani, ili kula ugali wa mzee wako halafu unaleta mambo ya kijinga eti ccm, babako nae amezidi upole, alikukosaje na hilo koleo ?!, hiyo degree yako !!Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar
Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu mzazi)
Baada ya kumuambia mazuri yaliofanywa na serikali ya awamu ya 5 na 4
Baba yangu aliniambia kama nataka siasa niondoke kabisa nyumbani kwake niende huko kwenye chama changu nikafanye siasa
Kuna kipindi nilipewa kazi na mjumbe niorodheshe majina ya wanachama wapya wa CCM, nikaenda nyumbani kuanza nimshawishi mzee achukue nae kadi, huwezi amini baba yangu mzazi wa kunizaa alinishikia koleo akitaka kunipiga nalo usoni
Sikulala nyumbani siku mbili akiniambia kama nataka mambo ya CCM nihame kabisa kwakwe na nisikanyage
Mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, ngazi ya degree kwa sasa sina kazi nipo home nimemueleza mzee wangu jana usiku kuwa nahitaji kugombea udiwani mwaka huu kwa tiketi ya CCM, nikaomba awe na kadi ya chama ili anipe support mimi mtoto wake kwenye kura za maoni
Baba yangu alitaka kunipiga na panga, na anasema niondake kwake haraka sana na nisikanyage tena,
Wakuu sina pa kwenda na hapa ndio nyumbani kwetu
Baba yangu anachofanya sio hekima kabisa, naombeni mnisaidie nipate haki yangu ya kukaa kwetu wakuu
Natanguliza shukrani sana, Mungu awabariki
Sent using komputa mpakato
Mkuu wewe kiboko, !Mimi huwa najitahidi Sana wanangu tuwe Simba wote,nashukuru wananielewa!KYALOSANGI, Mimi niliachana na mchumba kwa sababu anaipenda Yanga na mimi ni Simba,nikaona hanifai...Siipend Yanga na CCM kutoka moyoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ccm wanakupenda? Kama wanakupenda tafadhali nendaNosradamusEstrademe, Yeye amestaafu serikalini huu mwaka wa 5, ana 68 age
Sent using komputa mpakato
Msiba mkubwa kwa Taifa, miaka 31 bado unaishi kwa wazee. Halafu uataka upende unachotaka wewena sio wanachopenda wazazi wako? Basi nenda kamuone Bashite kama uko Dar, sihasha ukaunganishwa na kundi la watu wasiojulikanaHabarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar
Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu mzazi)
Baada ya kumuambia mazuri yaliofanywa na serikali ya awamu ya 5 na 4
Baba yangu aliniambia kama nataka siasa niondoke kabisa nyumbani kwake niende huko kwenye chama changu nikafanye siasa
Kuna kipindi nilipewa kazi na mjumbe niorodheshe majina ya wanachama wapya wa CCM, nikaenda nyumbani kuanza nimshawishi mzee achukue nae kadi, huwezi amini baba yangu mzazi wa kunizaa alinishikia koleo akitaka kunipiga nalo usoni
Sikulala nyumbani siku mbili akiniambia kama nataka mambo ya CCM nihame kabisa kwakwe na nisikanyage
Mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, ngazi ya degree kwa sasa sina kazi nipo home nimemueleza mzee wangu jana usiku kuwa nahitaji kugombea udiwani mwaka huu kwa tiketi ya CCM, nikaomba awe na kadi ya chama ili anipe support mimi mtoto wake kwenye kura za maoni
Baba yangu alitaka kunipiga na panga, na anasema niondake kwake haraka sana na nisikanyage tena,
Wakuu sina pa kwenda na hapa ndio nyumbani kwetu
Baba yangu anachofanya sio hekima kabisa, naombeni mnisaidie nipate haki yangu ya kukaa kwetu wakuu
Natanguliza shukrani sana, Mungu awabariki
Sent using komputa mpakato