Msaada ndugu zangu, baba hanitaki kwake kisa naipenda CCM

Msaada ndugu zangu, baba hanitaki kwake kisa naipenda CCM

Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar

Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu mzazi)

Baada ya kumuambia mazuri yaliofanywa na serikali ya awamu ya 5 na 4

Baba yangu aliniambia kama nataka siasa niondoke kabisa nyumbani kwake niende huko kwenye chama changu nikafanye siasa

Kuna kipindi nilipewa kazi na mjumbe niorodheshe majina ya wanachama wapya wa CCM, nikaenda nyumbani kuanza nimshawishi mzee achukue nae kadi, huwezi amini baba yangu mzazi wa kunizaa alinishikia koleo akitaka kunipiga nalo usoni

Sikulala nyumbani siku mbili akiniambia kama nataka mambo ya CCM nihame kabisa kwakwe na nisikanyage

Mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, ngazi ya degree kwa sasa sina kazi nipo home nimemueleza mzee wangu jana usiku kuwa nahitaji kugombea udiwani mwaka huu kwa tiketi ya CCM, nikaomba awe na kadi ya chama ili anipe support mimi mtoto wake kwenye kura za maoni

Baba yangu alitaka kunipiga na panga, na anasema niondake kwake haraka sana na nisikanyage tena,

Wakuu sina pa kwenda na hapa ndio nyumbani kwetu

Baba yangu anachofanya sio hekima kabisa, naombeni mnisaidie nipate haki yangu ya kukaa kwetu wakuu

Natanguliza shukrani sana, Mungu awabariki

Sent using komputa mpakato
Mtu mzima na digri yako unalia lia?????!!!! Ni Rutengwe wa 2? Nenda Lumumba wakupe hifadhi,si unawapenda!
 
Baba anajuta 31 yupo nyumbani. Ada alilipiwa na Mama yake. Mkuu vipi pitia abdiko nujta kwa nukta ongeza na umri wa mleta mada utagundua ni mtoto wa Mama from BAVCHAA.
Wewe naye sawa na huyo mtoto kichaa wa Lumumba, wote ondokeni humu JF of GT mnatubana bure, Lumumba ndiko sehemu sahihi kwa nyie. Mwenzako amesema yeye ni mwanaccm wewe na ujinga wako unasema ni Bavchaa!
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar

Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu mzazi)

Baada ya kumuambia mazuri yaliofanywa na serikali ya awamu ya 5 na 4

Baba yangu aliniambia kama nataka siasa niondoke kabisa nyumbani kwake niende huko kwenye chama changu nikafanye siasa

Kuna kipindi nilipewa kazi na mjumbe niorodheshe majina ya wanachama wapya wa CCM, nikaenda nyumbani kuanza nimshawishi mzee achukue nae kadi, huwezi amini baba yangu mzazi wa kunizaa alinishikia koleo akitaka kunipiga nalo usoni

Sikulala nyumbani siku mbili akiniambia kama nataka mambo ya CCM nihame kabisa kwakwe na nisikanyage

Mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, ngazi ya degree kwa sasa sina kazi nipo home nimemueleza mzee wangu jana usiku kuwa nahitaji kugombea udiwani mwaka huu kwa tiketi ya CCM, nikaomba awe na kadi ya chama ili anipe support mimi mtoto wake kwenye kura za maoni

Baba yangu alitaka kunipiga na panga, na anasema niondake kwake haraka sana na nisikanyage tena,

Wakuu sina pa kwenda na hapa ndio nyumbani kwetu

Baba yangu anachofanya sio hekima kabisa, naombeni mnisaidie nipate haki yangu ya kukaa kwetu wakuu

Natanguliza shukrani sana, Mungu awabariki

Sent using komputa mpakato

Wewe ni jinga na ndio maana una miaka 30 umekalisha makende yako hapo nyumbani,utaolewa muda si mrefu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar

Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu mzazi)

Baada ya kumuambia mazuri yaliofanywa na serikali ya awamu ya 5 na 4

Baba yangu aliniambia kama nataka siasa niondoke kabisa nyumbani kwake niende huko kwenye chama changu nikafanye siasa

Kuna kipindi nilipewa kazi na mjumbe niorodheshe majina ya wanachama wapya wa CCM, nikaenda nyumbani kuanza nimshawishi mzee achukue nae kadi, huwezi amini baba yangu mzazi wa kunizaa alinishikia koleo akitaka kunipiga nalo usoni

Sikulala nyumbani siku mbili akiniambia kama nataka mambo ya CCM nihame kabisa kwakwe na nisikanyage

Mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, ngazi ya degree kwa sasa sina kazi nipo home nimemueleza mzee wangu jana usiku kuwa nahitaji kugombea udiwani mwaka huu kwa tiketi ya CCM, nikaomba awe na kadi ya chama ili anipe support mimi mtoto wake kwenye kura za maoni

Baba yangu alitaka kunipiga na panga, na anasema niondake kwake haraka sana na nisikanyage tena,

Wakuu sina pa kwenda na hapa ndio nyumbani kwetu

Baba yangu anachofanya sio hekima kabisa, naombeni mnisaidie nipate haki yangu ya kukaa kwetu wakuu

Natanguliza shukrani sana, Mungu awabariki

Sent using komputa mpakato

Baba yako ana akili sana.
 
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar

Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu mzazi)

Baada ya kumuambia mazuri yaliofanywa na serikali ya awamu ya 5 na 4

Baba yangu aliniambia kama nataka siasa niondoke kabisa nyumbani kwake niende huko kwenye chama changu nikafanye siasa

Kuna kipindi nilipewa kazi na mjumbe niorodheshe majina ya wanachama wapya wa CCM, nikaenda nyumbani kuanza nimshawishi mzee achukue nae kadi, huwezi amini baba yangu mzazi wa kunizaa alinishikia koleo akitaka kunipiga nalo usoni

Sikulala nyumbani siku mbili akiniambia kama nataka mambo ya CCM nihame kabisa kwakwe na nisikanyage

Mimi nimemaliza chuo mwaka 2016, ngazi ya degree kwa sasa sina kazi nipo home nimemueleza mzee wangu jana usiku kuwa nahitaji kugombea udiwani mwaka huu kwa tiketi ya CCM, nikaomba awe na kadi ya chama ili anipe support mimi mtoto wake kwenye kura za maoni

Baba yangu alitaka kunipiga na panga, na anasema niondake kwake haraka sana na nisikanyage tena,

Wakuu sina pa kwenda na hapa ndio nyumbani kwetu

Baba yangu anachofanya sio hekima kabisa, naombeni mnisaidie nipate haki yangu ya kukaa kwetu wakuu

Natanguliza shukrani sana, Mungu awabariki

Sent using komputa mpakato
Hata humu jf inabidi wakupige ban, baba yako pia ana huruma sana, yani nizae litoto afu lije kusema ishu za fisiemu???? Akyanani nalifukuza mazima katika familia yangu na ninanyoa kabisa na nywele kuweka msisitizo. Fisiemu ni laana katika nchi yetu pendwa Tanganyika. 31 years + degree hujui pa kwenda?? Umewakilisha vyema akili za fisiemu(ccm).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23] humu ulipokimbilia napo sipo bado kuna roho za watu wapo Kama baba yako na kwa huo umri haha! Subiri waje utajuta..
Yaani hata mm nikikutananae nampa za uso hao ndio wanaolisababishia taifa hili matatizo kwa kuipa jeuri CCM...mwambie aenda Lumumba pale atamkuta Mr. Slow slow atamsaidia ila huku amekuja siko mwendawazimu huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan ninaomba unitumie namba za baba yako nitamuingizia mpunga wa kula week end kwa namna nitavo weza amenikosha balaa, hiv mtu anayeshabikia ccm unafikiria akipata mda anakuua kwan yeyote anayeshabikia chama hicho anaweza kua shetani mzur tu hivo ding anaakir balaa. Em jiulize haya

Chama unachoshangilia unamiaka 31 upo kwenu, huna ajira siasa zote na mikakati sion namna ya kukuinua alagu unajifanya kindakindaki [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] yaan mzee nimempa heko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli ishi uyaone mengi. Mtu huna kazi, umemaliza vyuo vyote, umesomeshwa na babako. Halafu bado hujaona machungu ya hiyo sirikali, unaendelea kuishabikia. We kweli hamnazo wa uhakika kabisa. Ningelikuwa babako ningemfugia mbwa humo chumbani kwako hata abweke tu.
Nenda lumumba watakupokea fasta
 
Back
Top Bottom