masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Wadau naomba kujulishwa hii biashara!
Mwaka jana mwishoni nilipata wasaa wa kukutana na M.C mmoja wa maeneo ya Temeke akasema kwamba nina sauti yenye ujazo inayoweza kunipatia mpaka million moja kwa weekend moja, pia muonekano you know
Kwamba inafaa sana kwenye shughuli mbalimbali.
Sio M.C wa HipHop MO11, hapana, ni wa sherehe; Msema Chochote a.k.a MC!
Sasa kuna sherehe kama mbili hivi ndogo ndogo moja ni tarehe 20 nita Co-host nae aniangalie, lakini pia iwe moja ya mafunzo.
Kiukweli, Sikuwahi kuwa na interest na hii shughuli na hata birthday party sijawahi kuwa MC. Please naomba ABC kwa makabila mbalimbali yapi ya kusema mbinu za kufanya uwe best MC, ili nitengeneze Mia mbili Mia tatu!
Makabila kama ya washana mshana jr mpwa naomba msaada wako, bwana utafiti najua umepitia mengi hapa nitapata ABC, le big boss The Boss, Shyland nambie sherehe za Kisukuma nisije nika uponda udaga maana nimezoea nyama ikawa tatizo.
Please bwana Pasco najua uko busy ila mchango wako ni muhimu na wote wote please msaada tutani.
Mwaka jana mwishoni nilipata wasaa wa kukutana na M.C mmoja wa maeneo ya Temeke akasema kwamba nina sauti yenye ujazo inayoweza kunipatia mpaka million moja kwa weekend moja, pia muonekano you know
Kwamba inafaa sana kwenye shughuli mbalimbali.
Sio M.C wa HipHop MO11, hapana, ni wa sherehe; Msema Chochote a.k.a MC!
Sasa kuna sherehe kama mbili hivi ndogo ndogo moja ni tarehe 20 nita Co-host nae aniangalie, lakini pia iwe moja ya mafunzo.
Kiukweli, Sikuwahi kuwa na interest na hii shughuli na hata birthday party sijawahi kuwa MC. Please naomba ABC kwa makabila mbalimbali yapi ya kusema mbinu za kufanya uwe best MC, ili nitengeneze Mia mbili Mia tatu!
Makabila kama ya washana mshana jr mpwa naomba msaada wako, bwana utafiti najua umepitia mengi hapa nitapata ABC, le big boss The Boss, Shyland nambie sherehe za Kisukuma nisije nika uponda udaga maana nimezoea nyama ikawa tatizo.
Please bwana Pasco najua uko busy ila mchango wako ni muhimu na wote wote please msaada tutani.