Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Karibu mkuu.Ahsante kiongozi 👏
Ahsante kiongoziAlteza ni gari linalohitaji matunzo sana ya body kuliko hata IST...
Kuna watu watabisha..
Kulingana na ukubwa wa injini ya Alteza, haiendani na ugumu wa body lake ..
Huwa body hasa pale mbele linatepeta na inakuwa mbaya sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi hawajui kuendesha gari within limits.Mwenye huu uzi kakimbia kabisa...
Nadhani amesoma comments akajiridhisha kabisa kuna pahala alikosea kwa makusudi ndiyo maana akaua injini.
Ni somo kwa tuliobaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
ti sio sawa na port broo..ti ina engine kubwa brooHuyo jamaa ni mzembe Kwenye kutunza gari kwasabb kama Safar ndefu mimi mwenyewe nimefanya safar nyingi Tu ndefu na carina ti na sijapata shida yeyote njiani,mwaka Jana December nimefanya Safar kutoka DAR,Mwanza Hadi bunda na nikaingia mwibara,kisorya Hadi ukerewe na gari ilikuwa poa mwanzo mwisho..
Gari yeyote ukishaanza kutumia maji ya dawasco badala ya coolant usitegemee gari hiyo kudumu mazingira yetu
Nataka nitoke kwenye legacy,karibu mwaka wa 6 now,limekua kimeo mno,trip shamba trip garage 😀,katika pita pita mitandao naona altezza na mark x zinauzwa bei ya kawaida kimtindo,ndio nazifanyia tathminiKaribu mkuu.
Tupa tu au uza scrap. Mnafikiri Wajapan wanaowauzia hayo magri ni wajinga? Muda wake wakuya scrap umeshafika. Mnajinunulia matatizo nyie wenyewe.Habari zenu humu,
Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,
Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,
safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.
Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari
TI ni cc 1490 Mkuu Ila Porte nayo nilijua ni kama TIti sio sawa na port broo..ti ina engine kubwa broo
You are right, at the same time you're wrong....Tupa tu au uza scrap. Mnafikiri Wajapan wanaowauzia hayo magri ni wajinga? Muda wake wakuya scrap umeshafika. Mnajinunulia matatizo nyie wenyewe.
Mkuu mm gar yangu Ni Toyota vitz cc 990 na nimeitembeza kutoka dar had mwanza na nikarudi nayo fresh baadaya kutoka service kubwaUmenikumbusha Toyota Port nilikuwa nayo ikafanya mchezo huu huu ya kwako iliyokufanyia.
Nadhani hizi gari toyota zenye cc chini ya 1700 si recommended kwa safari ndefu. Ni in town cars.
Safari ndefu inabidi uende mwendo wa kobe kwa kupumzika pumzika.
Kama ni mtu wa safari utlist pendelea cc kuanzia 2000 kwenda mbele. Ikiwa six unaenjoy safari zaidi.
Mkuu, hakuna sehemu nimesema haiwezi kusafiri, kama nimesema basi haikuwa maana yangu nieleweke hivyo, ninachomaanisha hiyo si gari ya safari.Mkuu mm gar yangu Ni Toyota vitz cc 990 na nimeitembeza kutoka dar had mwanza na nikarudi nayo fresh baadaya kutoka service kubwa
kilicho akilini kitumie
Aah, kila mtu yupo huru na mawazo yake. Walioyauza wenyewe wana ya scrap sisi tuone yanafaa miaka 10 mingine! Umasikini tu, hakuna zaidi.You are right, at the same time you're wrong....
Gari lolote likitunzwa vizuri na kupewa huduma zenye ubora..(vipuri), nakuhakikishia utaliendesha si chini ya miaka 10 na hapo bado huko Japan walishalichoka..
Kinachofanya magari yafe ghafla..
1....Ajali..hii haina ujanja
2....Kufanya service zilizochini ya kiwango hususani transmission fluid, engine oil na filter s zake, coolant, spark plugs na air filter pamoja na vipuri vingine vilivyopo sehemu nyeti zinazosuguana..eg cv joints.
3....Mikono mingi....unanunua gari, kila mshikaji ndiyo analitumia kwendea kwa demu wake huku akiweka mafuta ya buku 5...akilichubua rangi anakutupia hapo.
4....Tabia mbaya ya uendeshaji mbaya...mfano mtu anafukia mashimo na Passo kama vile prado.
Ukiepuka namba 2 mpaka 4 utaliendesha gari lako mpaka lifanane na wewe..
Namba 1 haiepukiki...hapo ni kuwa tu mwangalifu na Mungu asaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah kila.mtu yupo Hutu na mawazo yake. Walioyayrnrza wenyewe waya scrap sisi tuone yanafaa miaka 10 mingine! Umasikini tu, hakuna zaidi.
Kati ya hizo mbili chukua Mark X.Nataka nitoke kwenye legacy,karibu mwaka wa 6 now,limekua kimeo mno,trip shamba trip garage 😀,katika pita pita mitandao naona altezza na mark x zinauzwa bei ya kawaida kimtindo,ndio nazifanyia tathmini
Kumbe unajua. Vinginevyo wote tungekuwa na brand new Land cruiser V8.Aah kila.mtu yupo Hutu na mawazo yake. Walioyayrnrza wenyewe waya scrap sisi tuone yanafaa miaka 10 mingine! Umasikini tu, hakuna zaidi.
Ndio hizo hizo uzionazo subiri uje pale bondeni na kwa wazee wa long room ndio utajua ni bei rahisi au bei kubwa!jaman ivi izi bei za magir beforward ni za kwel
Una maanisha nini?Aah kila.mtu yupo Hutu na mawazo yake. Walioyayrnrza wenyewe waya scrap sisi tuone yanafaa miaka 10 mingine! Umasikini tu, hakuna zaidi.
Ushauri hapa ni kuto-overwork hizo gari. Ukiendesha vizuri bila pressure unafika bila matatizo,lakini ukianza mambo ya sifa umeona mwenye mark x kapita unataka uanze ligi unakaanga hio gari.Mkuu mm gar yangu Ni Toyota vitz cc 990 na nimeitembeza kutoka dar had mwanza na nikarudi nayo fresh baadaya kutoka service kubwa
kilicho akilini kitumie