Msaada: Nifanyaje kuhusu matatizo haya ya gari?

Msaada: Nifanyaje kuhusu matatizo haya ya gari?

Kuna mdau mmoja amesema mtoa mada kakimbia , hapana , sijakimbia nipo na nilikuwa napitia michango ya watu , hii porte ni cc 1490, na ilikuwa inatumiwa na mwanamke , kwaiyo ilikuwa inaletwa kigoma kwa mteja , sasa hayo majanga yaliyotokea hapo mwenye aliuza gar kakubali kununua engine nyingine ivishwe,
Inaonesha mtu aliekuwa anafanya services hakuwa anafanya services vizuri
Ila yote kwa yote asanten kwa michango yenu
 
broh naomba elimu kidogo hapa. nakiri wazi sina uzoefu wowote na magari ila nina katoyota ist nimenunua muda na nilinunua kwa mtu. narudia sina uzoefu wa magari. nachoomba kukua hyo coolant inasaidia nini?? je ina tofauti gani na maji?? naomba elimu hapa broh! natanguliza shukrani kwako!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ambayo utamwaga oil mwambie fundi wako aifungue rejeta isafishwe alafu uanze kutumia coolant.
 
Kuna mdau mmoja amesema mtoa mada kakimbia , hapana , sijakimbia nipo na nilikuwa napitia michango ya watu , hii porte ni cc 1490, na ilikuwa inatumiwa na mwanamke , kwaiyo ilikuwa inaletwa kigoma kwa mteja , sasa hayo majanga yaliyotokea hapo mwenye aliuza gar kakubali kununua engine nyingine ivishwe,
Inaonesha mtu aliekuwa anafanya services hakuwa anafanya services vizuri
Ila yote kwa yote asanten kwa michango yenu
Wanawake wanaonewa sana na mafundi. Unakuta anatoa hela gari haifanyiwi service wanamlia hela tu.
 
Point ya msingi sana umeongea hapa.....
Poor beautiful B ladies...[emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29].

Magari mengi yanayomilikiwa na wanawake huwa na hali nzuri sana kwa upande wa body...

Ila engine huwa miozo kwa sababu...
Wadada wengi hawana knowledge na mashine, na wengi wao hawapendi kuumiza kichwa kuhusu mashine....

Hii inapelekea wao kumpigia fundi simu, fundi anachukua gari na kwenda kulifanyia service wakati dada yupo, Home, Saluni au Kazini...

Matokeo yake fundi anaweza kuweka oil ya kupima ili apate cha juu...

Kuna mdau mmoja amesema mtoa mada kakimbia , hapana , sijakimbia nipo na nilikuwa napitia michango ya watu , hii porte ni cc 1490, na ilikuwa inatumiwa na mwanamke , kwaiyo ilikuwa inaletwa kigoma kwa mteja , sasa hayo majanga yaliyotokea hapo mwenye aliuza gar kakubali kununua engine nyingine ivishwe,
Inaonesha mtu aliekuwa anafanya services hakuwa anafanya services vizuri
Ila yote kwa yote asanten kwa michango yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdau mmoja amesema mtoa mada kakimbia , hapana , sijakimbia nipo na nilikuwa napitia michango ya watu , hii porte ni cc 1490, na ilikuwa inatumiwa na mwanamke , kwaiyo ilikuwa inaletwa kigoma kwa mteja , sasa hayo majanga yaliyotokea hapo mwenye aliuza gar kakubali kununua engine nyingine ivishwe,
Inaonesha mtu aliekuwa anafanya services hakuwa anafanya services vizuri
Ila yote kwa yote asanten kwa michango yenu

Umepata madini ya kutosha. Elimu haina mwisho kwa hiyo mkuu next time chukua tahadhari
 
Umenikumbusha Toyota Port nilikuwa nayo ikafanya mchezo huu huu ya kwako iliyokufanyia.

Nadhani hizi gari toyota zenye cc chini ya 1700 si recommended kwa safari ndefu. Ni in town cars.

Safari ndefu inabidi uende mwendo wa kobe kwa kupumzika pumzika.

Kama ni mtu wa safari utlist pendelea cc kuanzia 2000 kwenda mbele. Ikiwa six unaenjoy safari zaidi.
Siyo kweli, nina fielder 1500cc napiga nayo trip za mikoa sana, na haijasumbua hata

Sent
 
Tatizo siyo kuwekwa kila siku...
Hata kama inawekwa mara moja ndani ya miaka 10

..gari linaweza kupata msukosuko wowte na kupelekea coolant kuisha..mfano kuvuja kwa baadhi ya pipes au kupata ajali na kupasua radiator..
Matengenezo yakishafanyika, baadhi ya watu wanakwepa gharama za coolant wanajaza maji ya bomba..

Lakini pia kuna magari yanavuja mifumo ya upoozaji, unakuta zile pipes za mipira zimekakamaa na kutoboka matundu madogomadogo hivyo unaku ta kila baada ya siku 3, unalazimika kuongeza coolant....hizo gharama za coolant mfano nusu lita kila baada ya siku 3, kuna watu wanazikwepa....akiamka asubuhi anaongeza maji ya bomba...

In the long running, baada ya kama miezi miwili hivi, automatically coolant inakuwa replaced na maji ya kawada...

Suala la kuongeza coolant mara kwa mara ni suala la kawaida sana kwa magari ambayo yameshakaa muda mrefu..
Lakini pia unaweza ukawa safarini, katikati ya vijiji vya watu gari likachemsha, ukafungua mfuniko wa radiator coolant ikaruka nje, wasamaria wanakusaidia maji ya kawaida unajaza, siku ukirudi mjini hufanyi badiliko unaendwlwa na maji ya bomba...
Ha ha kwani coolant inawekwa kila siku.. Ni kukosa akili tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana... Badilisha engine...


Cc: mahondaw
Sawa , iyo itafanyika ! Ila kuna mtu alishauribakasema baala yakuingia gharama zote za kununua engine , bora kununua kitu kinaitwa mswaki , kureplace hiyo engine, hapo mnasemaje wadau mnaushauri gan
 
Sawa , iyo itafanyika ! Ila kuna mtu alishauribakasema baala yakuingia gharama zote za kununua engine , bora kununua kitu kinaitwa mswaki , kureplace hiyo engine, hapo mnasemaje wadau mnaushauri gan

Duu!! Hapo kwenye mswaki mimi mgeni...


Cc: mahondaw
 
Mkuu pole sana kwa kuua injini...yes..the simple and genuine answer is you have killed your engine...

Hapo hakuna suluhisho zaidi ya kununua Engine nyingine ufunge hapo..

Sababu za kuua hiyo injini....
1...Inaonekana ulikuwa unafanya service za bei rahisi bila kutumia bidhaa zenye ubora....pengine ulifuata ule ushauri wa watu wanaosema service za Toyota ni bei rahisi.

2....Pengine gari yako ulishauriwa utoe thermostat na mafundi wa mtaani, na wewe ukafanya hivyo, au ulianza safari bila kukagua kiwango cha coolant, au unatumia maji ya bombani...hii ndiyo imepelekea kuunguza head pamoja na gasket yake...Too Sad[emoji29][emoji29][emoji29]..kuunguza head si swala la kitoto inaonekana kuna makosa makubwa yalifanyika.

3...Toyota porte nadhani haizidi cc 1300, isijekuta ulikuwa unafukuzana na V 8 zinazowahisha viongozi kwenye majukumu yao....engine ikawa over heated na kupelekea kuunguza head na gasket..

4....Service ya oil uliyofanya kabla ya safari ilikuwa ya kiwango cha chini.....zaidi oil filter kama ulitumia zile za 3500/- mpaka 5000/- hizi huwa hazimudu safari ndefu...zinavimba na kuchanika yale makaratasi ya ndani yanayochuja oil na kufanya kuziba njia ya oil....hapo ndipo ulipoona vyuma vinaanza kudondoka vyenyewe....

HIZI ZOTE NILIZOTAJA HAPA NI ASSUMPTIONS LAKINI ZINAWEZA KUWA NDIYO ZIMEUA ENGINE YAKO.

ANGALIZO...
Gari ikishakuwa chini ya cc1500, usiilazimishe safari ndefu, ibembeleze.... accelerate reasonably...usifanye ligi, acha gari ichanganye yenyewe...waache wenye Subaru, V8, Brevis, Fuga waende zao.

Fanya service zenye ubora kwa kutumia bidhaa bora, coolant, oil na filter.

Ni hayo tu machache.

Sent using Jamii Forums mobile app

Je mkuu kwa VITZ RS c.c 1500 vp haifai kwa safar mdefu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati fundi wa Manyoni amekwambia head imepinda ulinunua head nyingine au ndo alikufungia tu kwa wewe kudhani urahisi na yeye kutamani pesa yako
Habari zenu humu,

Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,

Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,

safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.

Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Habari zenu humu,

Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,

Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,

safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.

Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari
Pole sana,niliwahi kupata na mfumuko huo wa engine ilikuwa ni Ipsum old model na engine 3s,nilitoka vizuri Manyara kufika Morogoro gari ikawa na misfire,nikandelea nazo mpaka kufika Dar,kesho yake nikampa fundi,yule fundi akawasha gari na ilipowaka alikanyaga moto kwa nguvu sana,nilichoshuhudia ni mzinga mkubwa kwenye engine na gari ikazima,tulipoangalia chini ya gari ni vipande vya piston na cylinder head,na tundu kubwa limetokea kwenye engine block,engine ilipofunguliwa uharibifu ulikuwa mkubwa sana,solution ilikuwa ni kununua engine nyingine au half engine,kwa uwezo wangu mdogo nikaopt half engine,ingawa gari ilipona ila haikurudi kwenye normal perfomance.Kwahiyo kwa yaliokukuta ndugu wala usipoteze pesa,ulizia bei ya engine na kama mfuko unaruhusu bandika nyingine...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha Toyota Port nilikuwa nayo ikafanya mchezo huu huu ya kwako iliyokufanyia.

Nadhani hizi gari toyota zenye cc chini ya 1700 si recommended kwa safari ndefu. Ni in town cars.

Safari ndefu inabidi uende mwendo wa kobe kwa kupumzika pumzika.

Kama ni mtu wa safari utlist pendelea cc kuanzia 2000 kwenda mbele. Ikiwa six unaenjoy safari zaidi.
Sio kweli mkuu. Huwa nassfiri na toyota passo 990cv mara kadhaa dar mwanza haijawahiniletea shida, hizi ni engine tu kama hizo kubwa unazozisema cha msingi acha ligi. Kama mimi speed yangu huwa 100 ikizidi 120. Tena kwenye miteremko na vile vitambarale. Engine huwa haichoki mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom