Kama kutoka Jp hio ni kawaidaπ beforward boss
Siku ambayo utamwaga oil mwambie fundi wako aifungue rejeta isafishwe alafu uanze kutumia coolant.broh naomba elimu kidogo hapa. nakiri wazi sina uzoefu wowote na magari ila nina katoyota ist nimenunua muda na nilinunua kwa mtu. narudia sina uzoefu wa magari. nachoomba kukua hyo coolant inasaidia nini?? je ina tofauti gani na maji?? naomba elimu hapa broh! natanguliza shukrani kwako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wanaonewa sana na mafundi. Unakuta anatoa hela gari haifanyiwi service wanamlia hela tu.Kuna mdau mmoja amesema mtoa mada kakimbia , hapana , sijakimbia nipo na nilikuwa napitia michango ya watu , hii porte ni cc 1490, na ilikuwa inatumiwa na mwanamke , kwaiyo ilikuwa inaletwa kigoma kwa mteja , sasa hayo majanga yaliyotokea hapo mwenye aliuza gar kakubali kununua engine nyingine ivishwe,
Inaonesha mtu aliekuwa anafanya services hakuwa anafanya services vizuri
Ila yote kwa yote asanten kwa michango yenu
Kuna mdau mmoja amesema mtoa mada kakimbia , hapana , sijakimbia nipo na nilikuwa napitia michango ya watu , hii porte ni cc 1490, na ilikuwa inatumiwa na mwanamke , kwaiyo ilikuwa inaletwa kigoma kwa mteja , sasa hayo majanga yaliyotokea hapo mwenye aliuza gar kakubali kununua engine nyingine ivishwe,
Inaonesha mtu aliekuwa anafanya services hakuwa anafanya services vizuri
Ila yote kwa yote asanten kwa michango yenu
Kuna mdau mmoja amesema mtoa mada kakimbia , hapana , sijakimbia nipo na nilikuwa napitia michango ya watu , hii porte ni cc 1490, na ilikuwa inatumiwa na mwanamke , kwaiyo ilikuwa inaletwa kigoma kwa mteja , sasa hayo majanga yaliyotokea hapo mwenye aliuza gar kakubali kununua engine nyingine ivishwe,
Inaonesha mtu aliekuwa anafanya services hakuwa anafanya services vizuri
Ila yote kwa yote asanten kwa michango yenu
Mkuu mm gar yangu Ni Toyota vitz cc 990 na nimeitembeza kutoka dar had mwanza na nikarudi nayo fresh baadaya kutoka service kubwa
kilicho akilini kitumie
Siyo kweli, nina fielder 1500cc napiga nayo trip za mikoa sana, na haijasumbua hataUmenikumbusha Toyota Port nilikuwa nayo ikafanya mchezo huu huu ya kwako iliyokufanyia.
Nadhani hizi gari toyota zenye cc chini ya 1700 si recommended kwa safari ndefu. Ni in town cars.
Safari ndefu inabidi uende mwendo wa kobe kwa kupumzika pumzika.
Kama ni mtu wa safari utlist pendelea cc kuanzia 2000 kwenda mbele. Ikiwa six unaenjoy safari zaidi.
Coolant unaweza kukuta lita 1 mpaka 12000/-..
Maji ya bomba ndoo ya lita 20 jero...
So, most of the people go for the cheapest..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha kwani coolant inawekwa kila siku.. Ni kukosa akili tu!
80-100
Sawa , iyo itafanyika ! Ila kuna mtu alishauribakasema baala yakuingia gharama zote za kununua engine , bora kununua kitu kinaitwa mswaki , kureplace hiyo engine, hapo mnasemaje wadau mnaushauri gan
Sawa , iyo itafanyika ! Ila kuna mtu alishauribakasema baala yakuingia gharama zote za kununua engine , bora kununua kitu kinaitwa mswaki , kureplace hiyo engine, hapo mnasemaje wadau mnaushauri gan
Mkuu altezza nayo unaionaje,ni roho ya paka gx 100?
Mkuu pole sana kwa kuua injini...yes..the simple and genuine answer is you have killed your engine...
Hapo hakuna suluhisho zaidi ya kununua Engine nyingine ufunge hapo..
Sababu za kuua hiyo injini....
1...Inaonekana ulikuwa unafanya service za bei rahisi bila kutumia bidhaa zenye ubora....pengine ulifuata ule ushauri wa watu wanaosema service za Toyota ni bei rahisi.
2....Pengine gari yako ulishauriwa utoe thermostat na mafundi wa mtaani, na wewe ukafanya hivyo, au ulianza safari bila kukagua kiwango cha coolant, au unatumia maji ya bombani...hii ndiyo imepelekea kuunguza head pamoja na gasket yake...Too Sad[emoji29][emoji29][emoji29]..kuunguza head si swala la kitoto inaonekana kuna makosa makubwa yalifanyika.
3...Toyota porte nadhani haizidi cc 1300, isijekuta ulikuwa unafukuzana na V 8 zinazowahisha viongozi kwenye majukumu yao....engine ikawa over heated na kupelekea kuunguza head na gasket..
4....Service ya oil uliyofanya kabla ya safari ilikuwa ya kiwango cha chini.....zaidi oil filter kama ulitumia zile za 3500/- mpaka 5000/- hizi huwa hazimudu safari ndefu...zinavimba na kuchanika yale makaratasi ya ndani yanayochuja oil na kufanya kuziba njia ya oil....hapo ndipo ulipoona vyuma vinaanza kudondoka vyenyewe....
HIZI ZOTE NILIZOTAJA HAPA NI ASSUMPTIONS LAKINI ZINAWEZA KUWA NDIYO ZIMEUA ENGINE YAKO.
ANGALIZO...
Gari ikishakuwa chini ya cc1500, usiilazimishe safari ndefu, ibembeleze.... accelerate reasonably...usifanye ligi, acha gari ichanganye yenyewe...waache wenye Subaru, V8, Brevis, Fuga waende zao.
Fanya service zenye ubora kwa kutumia bidhaa bora, coolant, oil na filter.
Ni hayo tu machache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu humu,
Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,
Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,
safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.
Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari
Pole sana,niliwahi kupata na mfumuko huo wa engine ilikuwa ni Ipsum old model na engine 3s,nilitoka vizuri Manyara kufika Morogoro gari ikawa na misfire,nikandelea nazo mpaka kufika Dar,kesho yake nikampa fundi,yule fundi akawasha gari na ilipowaka alikanyaga moto kwa nguvu sana,nilichoshuhudia ni mzinga mkubwa kwenye engine na gari ikazima,tulipoangalia chini ya gari ni vipande vya piston na cylinder head,na tundu kubwa limetokea kwenye engine block,engine ilipofunguliwa uharibifu ulikuwa mkubwa sana,solution ilikuwa ni kununua engine nyingine au half engine,kwa uwezo wangu mdogo nikaopt half engine,ingawa gari ilipona ila haikurudi kwenye normal perfomance.Kwahiyo kwa yaliokukuta ndugu wala usipoteze pesa,ulizia bei ya engine na kama mfuko unaruhusu bandika nyingine...Habari zenu humu,
Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,
Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,
safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.
Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari
Sio kweli mkuu. Huwa nassfiri na toyota passo 990cv mara kadhaa dar mwanza haijawahiniletea shida, hizi ni engine tu kama hizo kubwa unazozisema cha msingi acha ligi. Kama mimi speed yangu huwa 100 ikizidi 120. Tena kwenye miteremko na vile vitambarale. Engine huwa haichoki mkuuUmenikumbusha Toyota Port nilikuwa nayo ikafanya mchezo huu huu ya kwako iliyokufanyia.
Nadhani hizi gari toyota zenye cc chini ya 1700 si recommended kwa safari ndefu. Ni in town cars.
Safari ndefu inabidi uende mwendo wa kobe kwa kupumzika pumzika.
Kama ni mtu wa safari utlist pendelea cc kuanzia 2000 kwenda mbele. Ikiwa six unaenjoy safari zaidi.