Fundi alisema imepinda kwaiyo ipigwe pasi , na alifanya hivo , ...ikarudishiwa fresh ,Wakati fundi wa Manyoni amekwambia head imepinda ulinunua head nyingine au ndo alikufungia tu kwa wewe kudhani urahisi na yeye kutamani pesa yako
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Unakwenda mwanza na porte kwa spidi ya harrier kw aina ya gari yako ulitakiwa utumie siku 3Habari zenu humu,
Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,
Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,
safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.
Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari
Ok mkuu. Ni sawaSio kweli mkuu. Huwa nassfiri na toyota passo 990cv mara kadhaa dar mwanza haijawahiniletea shida, hizi ni engine tu kama hizo kubwa unazozisema cha msingi acha ligi. Kama mimi speed yangu huwa 100 ikizidi 120. Tena kwenye miteremko na vile vitambarale. Engine huwa haichoki mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ko unadhan speed inaharib engine? Service ndio kila kitu mzeeUnakwenda mwanza na porte kwa spidi ya harrier kw aina ya gari yako ulitakiwa utumie siku 3
Nunua engini nyingine mswaki
Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana!!! nitafanya hivyo mkuuSiku ambayo utamwaga oil mwambie fundi wako aifungue rejeta isafishwe alafu uanze kutumia coolant.
Hiyo inaenda safari hata ya km 1000 bila shida...bora tu usiilazimishe kufukuza magari yenye performance kubwa...milimani pia usiilazimishe kupanda kwa speed 100+..
mwendokasi unaua bro acha kabisa hiyo tabia. Mimi nilianzisha ligi na kichaa mmoja ikafika kipindi nikaona gari inaanza kuvibrate kama ndege inataka kupaa nikaamua kunyoosha mikono....Yaani mtu anaanzisha ugomvi ambao anajua atapigwa tu. Hao huwa nawadhalilisha unaenda kumkata kwenye speed over 150kph akiangalia anaona kifo nje nje!
mwendokasi unaua bro acha kabisa hiyo tabia. Mimi nilianzisha ligi na kichaa mmoja ikafika kipindi nikaona gari inaanza kuvibrate kama ndege inataka kupaa nikaamua kunyoosha mikono....
Kununua Engine mswaki it's a good ideaSawa , iyo itafanyika ! Ila kuna mtu alishauribakasema baala yakuingia gharama zote za kununua engine , bora kununua kitu kinaitwa mswaki , kureplace hiyo engine, hapo mnasemaje wadau mnaushauri gan
Any way kwa vile nigar ya kutembelea na engine haijadhurika sana kwa maelezo ya fundi na hali ya mfuko wa mwenye gar na muuzaji , tumeona tununue mswaki tuweke kwa sasa ..Kununua Engine mswaki it's a good idea
Kununua injini nyingine it's a better idea
Kununua Engine used Japan it's the best idea.
Sukushauri sana kwenye mswaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea uwezo wako kama dereva,gari yako na mazingira. Nazingatia yote hayo.mwendokasi unaua bro acha kabisa hiyo tabia. Mimi nilianzisha ligi na kichaa mmoja ikafika kipindi nikaona gari inaanza kuvibrate kama ndege inataka kupaa nikaamua kunyoosha mikono....
Any way kwa vile nigar ya kutembelea na engine haijadhurika sana kwa maelezo ya fundi na hali ya mfuko wa mwenye gar na muuzaji , tumeona tununue mswaki tuweke kwa sasa ..
Hakuna noma nitaleta mrejesho hapa ngoja zoez likamilikePoa poa...tafuta fundi mzuri afunge akiwa ametuliza kichwa vizuri..
Awe makini sana kwa timing chain/belt na seals za oil..
All the best...Usisahau kuleta mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu humu,
Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,
Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,
safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.
Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari
Mshana mm na paso passo na mm hii ni ya pili kumiliki nimenunua hata mwezi haijaisha huwa ikifikia km 190,000 hadi laki2 huwa naiuza naongeza hela nanunua ingine hapo haijaanza kwenda gereji, cha msingi service iwe sio ya kuunga, tumia oil genuine za toyota. Huwa nasafiri nonstop. Juzi nimetoka dar saa 9 mchana na saa 2 asubuhi nlikuwa mwanza, ukiniambia sio gari za masafa sikuelewi. Tena njiani nlipiga kiraka ambacho hakijafukiwa nikapinda rim maeneo ya 70 km kabla ya manyoni ilikuwa saa 7:30 usiku. Gari haikusumbua kabisaMungu wangu hayo magari sio safari ndefu kiasi hicho na pengine hamkupumzika vituo vingi.. Badili engine kisha achana na safari za masafa
Jr[emoji769]
kwan kuna ubaya wowote kunyanyua gari?? mana kuna baadh ya barabara huwezi pita kama gar yako n ya chini kwa hyo unalazimika kunyanyua gar yakoNi kweli mkuu, tatizo ni kwamba umaskini wa fedha na mawazo unatufanya tusiwe na matumizi sahihi ya magari.
Unakuta mtu kanunua mark x halafu kainyanyua juu ili ifanye kazi ya SUV.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huwa inaleta muonekano mbaya sana...utafikiri drone ya US inaenda kupiga Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
maji ya bomban hayafai kutumika kama coolant?Mkuu pole sana kwa kuua injini...yes..the simple and genuine answer is you have killed your engine...
Hapo hakuna suluhisho zaidi ya kununua Engine nyingine ufunge hapo..
Sababu za kuua hiyo injini....
1...Inaonekana ulikuwa unafanya service za bei rahisi bila kutumia bidhaa zenye ubora....pengine ulifuata ule ushauri wa watu wanaosema service za Toyota ni bei rahisi.
2....Pengine gari yako ulishauriwa utoe thermostat na mafundi wa mtaani, na wewe ukafanya hivyo, au ulianza safari bila kukagua kiwango cha coolant, au unatumia maji ya bombani...hii ndiyo imepelekea kuunguza head pamoja na gasket yake...Too Sad[emoji29][emoji29][emoji29]..kuunguza head si swala la kitoto inaonekana kuna makosa makubwa yalifanyika.
3...Toyota porte nadhani haizidi cc 1300, isijekuta ulikuwa unafukuzana na V 8 zinazowahisha viongozi kwenye majukumu yao....engine ikawa over heated na kupelekea kuunguza head na gasket..
4....Service ya oil uliyofanya kabla ya safari ilikuwa ya kiwango cha chini.....zaidi oil filter kama ulitumia zile za 3500/- mpaka 5000/- hizi huwa hazimudu safari ndefu...zinavimba na kuchanika yale makaratasi ya ndani yanayochuja oil na kufanya kuziba njia ya oil....hapo ndipo ulipoona vyuma vinaanza kudondoka vyenyewe....
HIZI ZOTE NILIZOTAJA HAPA NI ASSUMPTIONS LAKINI ZINAWEZA KUWA NDIYO ZIMEUA ENGINE YAKO.
ANGALIZO...
Gari ikishakuwa chini ya cc1500, usiilazimishe safari ndefu, ibembeleze.... accelerate reasonably...usifanye ligi, acha gari ichanganye yenyewe...waache wenye Subaru, V8, Brevis, Fuga waende zao.
Fanya service zenye ubora kwa kutumia bidhaa bora, coolant, oil na filter.
Ni hayo tu machache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunyanyua gari kuna hatari sana ni vile tu mazingira ya nchi yetu barabara asilia kubwa ni za vumbi...kwan kuna ubaya wowote kunyanyua gari?? mana kuna baadh ya barabara huwezi pita kama gar yako n ya chini kwa hyo unalazimika kunyanyua gar yako
Sent from my SM-J320F using Tapatalk