ila GX 100 Zinabwiya mafuta asee tuache utaniWatu hawajui,kama unahitaji gari ikupitishe kipindi cha mpito ni hizi GX100 wao wanakimbilia IST na Passo wanafikiria mafuta tu. Mimi ninayo siiuzi huwa inakaa kusubiri hali ngumu ndio naitumia. Watu kibao wananisumbua niwauzie
Kwenye wese lazima ujipange.ila GX 100 Zinabwiya mafuta asee tuache utani
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Yanatumika tu kwa shida......mathalani gari limechemsha ukiwa porini, ukifika mjinj inashauriwa umwage maji uweke coolant..maji ya bomban hayafai kutumika kama coolant?
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Mi siwaelewi wanaposema gar haikupumzishwa, nlichogundua hapo ni suala la service tu ndio lina matter , manake niliwah kutoka dar mpk kyela na funcargo na sikusimama mahali ...na gari ikarud dar kesho ake bila shida, ...so minakuunga mkonoMshana mm na paso passo na mm hii ni ya pili kumiliki nimenunua hata mwezi haijaisha huwa ikifikia km 190,000 hadi laki2 huwa naiuza naongeza hela nanunua ingine hapo haijaanza kwenda gereji, cha msingi service iwe sio ya kuunga, tumia oil genuine za toyota. Huwa nasafiri nonstop. Juzi nimetoka dar saa 9 mchana na saa 2 asubuhi nlikuwa mwanza, ukiniambia sio gari za masafa sikuelewi. Tena njiani nlipiga kiraka ambacho hakijafukiwa nikapinda rim maeneo ya 70 km kabla ya manyoni ilikuwa saa 7:30 usiku. Gari haikusumbua kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshanachapa kilicho cost gar ni service mbov ya mwenye gari , manake gari inaonesha hakuwa inafwatiliwa kikamilifu.. suala la kumpumzika hapana ...gari imeanza kuzingua tukiwa manyoni, sasa kutoka dar mpk manyoni mbona sio mbali kivilee,Mungu wangu hayo magari sio safari ndefu kiasi hicho na pengine hamkupumzika vituo vingi.. Badili engine kisha achana na safari za masafa
Jr[emoji769]
naomba kueleweshwa hapa kwny COOLANT & MAJI YA DAWASCO jaman maji ya dawasco yanashda gan ukitumia kama coolant?? mana wengi wanatumia maji y dawasco as coolant....Huyo jamaa ni mzembe Kwenye kutunza gari kwasabb kama Safar ndefu mimi mwenyewe nimefanya safar nyingi Tu ndefu na carina ti na sijapata shida yeyote njiani,mwaka Jana December nimefanya Safar kutoka DAR,Mwanza Hadi bunda na nikaingia mwibara,kisorya Hadi ukerewe na gari ilikuwa poa mwanzo mwisho..
Gari yeyote ukishaanza kutumia maji ya dawasco badala ya coolant usitegemee gari hiyo kudumu mazingira yetu
You compromise stability.kwan kuna ubaya wowote kunyanyua gari?? mana kuna baadh ya barabara huwezi pita kama gar yako n ya chini kwa hyo unalazimika kunyanyua gar yako
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Maji yanasababisha kutu hivyo maisha ya radiator huwa mafupi. Pia yanasababisha kutu kwenye njia zake ndani ya engine.naomba kueleweshwa hapa kwny COOLANT & MAJI YA DAWASCO jaman maji ya dawasco yanashda gan ukitumia kama coolant?? mana wengi wanatumia maji y dawasco as coolant....
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Soma hapa..ilikuwa post #77naomba kueleweshwa hapa kwny COOLANT & MAJI YA DAWASCO jaman maji ya dawasco yanashda gan ukitumia kama coolant?? mana wengi wanatumia maji y dawasco as coolant....
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
walio weng hawajuagi kwamba ile bei pale ni ya gar yaan bado usafiri,Tra nakadhalika mwishowe akujumlisha anakuta gari inafika $600 na kahela kenyewe alikopa $200 mwishowe anaamua kutelekeza gari. but hawa wazee wa kodi sio poa aasee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu anaweza kuona gari beforward bei FOB ni $200 akadhani ni rahisi,
Hajajua wazee wa meli hawajaweka chao kupata CIF,wazee wa bandari bado,na kuna wale wasioshiba wazee wa TRA,Wazee wa bima bado..lazima tu alitelekeze bandarini..
Sent using Jamii Forums mobile app
nshaisoma.asew thanksSoma hapa..ilikuwa post #77
Msaada: Nifanyaje kuhusu matatizo haya ya gari? - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
thanksMaji yanasababisha kutu hivyo maisha ya radiator huwa mafupi. Pia yanasababisha kutu kwenye njia zake ndani ya engine.
Yaani hizi gari ndogo tu mfano Passo,Vitz au March bei yake ya kwenye meli haipungui $1000..[emoji119][emoji119]walio weng hawajuagi kwamba ile bei pale ni ya gar yaan bado usafiri,Tra nakadhalika mwishowe akujumlisha anakuta gari inafika $600 na kahela kenyewe alikopa $200 mwishowe anaamua kutelekeza gari. but hawa wazee wa kodi sio poa aasee
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
akiwaza bado anatakiwa kumlipa mtu anaitwa "clearing & fowarding agent" dah anaamua kusitisha zoeziYaani hizi gari ndogo tu mfano Passo,Vitz au March bei yake ya kwenye meli haipungui $1000..[emoji119][emoji119]
Sasa kama mtu hakujipanga, yaani analiacha bandarini..
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa sawaYou compromise stability.
Ni yako unaweza kuifanya vyovyote ila Kwangu mm naona si sawa, kama barabara ni mbovu nunua gari inayokidhi hilo hitaji. Hivi ni vyombo vya moto na Watengenezaji magari wanatengeneza haya magari kwa ratio maalum, kuongeza ongeza au kubadili kunaweza kupunguza usalama.kwan kuna ubaya wowote kunyanyua gari?? mana kuna baadh ya barabara huwezi pita kama gar yako n ya chini kwa hyo unalazimika kunyanyua gar yako
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Kwahiyo mkuu kabla ya kuanza kutumia coolant, ( mi nawekaga maji kitambo)ni vizuri radiator isafishwe kwanza?Tatizo siyo kuwekwa kila siku...
Hata kama inawekwa mara moja ndani ya miaka 10
..gari linaweza kupata msukosuko wowte na kupelekea coolant kuisha..mfano kuvuja kwa baadhi ya pipes au kupata ajali na kupasua radiator..
Matengenezo yakishafanyika, baadhi ya watu wanakwepa gharama za coolant wanajaza maji ya bomba..
Lakini pia kuna magari yanavuja mifumo ya upoozaji, unakuta zile pipes za mipira zimekakamaa na kutoboka matundu madogomadogo hivyo unaku ta kila baada ya siku 3, unalazimika kuongeza coolant....hizo gharama za coolant mfano nusu lita kila baada ya siku 3, kuna watu wanazikwepa....akiamka asubuhi anaongeza maji ya bomba...
In the long running, baada ya kama miezi miwili hivi, automatically coolant inakuwa replaced na maji ya kawada...
Suala la kuongeza coolant mara kwa mara ni suala la kawaida sana kwa magari ambayo yameshakaa muda mrefu..
Lakini pia unaweza ukawa safarini, katikati ya vijiji vya watu gari likachemsha, ukafungua mfuniko wa radiator coolant ikaruka nje, wasamaria wanakusaidia maji ya kawaida unajaza, siku ukirudi mjini hufanyi badiliko unaendwlwa na maji ya bomba...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Yangu coolant ina mchanganyiko wa kemikali ambazo zinazuia kutu pia maji ya coolant yanapoza engine Kwa muda wote tofauti na maji ya kawaida..naomba kueleweshwa hapa kwny COOLANT & MAJI YA DAWASCO jaman maji ya dawasco yanashda gan ukitumia kama coolant?? mana wengi wanatumia maji y dawasco as coolant....
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Yes. inakuwa ni vizuri zaidi..Unaweza ukafanya radiator flashing.....kisha ukaweka coolant...Kwahiyo mkuu kabla ya kuanza kutumia coolant, ( mi nawekaga maji kitambo)ni vizuri radiator isafishwe kwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuongezea tu kila kampuni ya gari ina rangi yake ya coolant inayotakiwa kuwekwa mfano Toyota wana coolant rangi ya pink na sio nyekundu kama wengi walivyozoea lakin all in all rangi yoyote ya coolant inaweza kufix gari yoyote kikubwa ni je hiyo coolant unayoweka nayo inakidhi viwango vya mchanganyiko? Maana coolant inayotakiwa ni ile iliyochanganywa 50,50 kwa maana asilimia 50wameweka distilled water na 50 zingine ndo hizo chemical zinazowekwa ila sio unaweka coolant ilimrad imeandikwa coolant wengine watengenezaji nao wanachukua maji wanachanganya na rangi na kuandika ni coolant na mfano wa hizo ni hizi abro coolant, hazina uwezo mzuri wa kupoooza engine ni kama maji tuCoolant ni kiminika chepesi tu kama maji, kinawekwa kwenye radiator ya gari ili kupooza injini..
Coolant imeongezwa chemicals ambazo zinasaidia yafuatayo..
1. ...Njia za maji kwenye radiator na injini zisishike kutu na kupelekea kuziba au kutoboka.
2.....Chemical hizi hufanya coolant iwe antifreeze....yaani isigande na kuwa barafu kwa wale wanaoishi kwenye nchi za baridi.
3....Chemical hizi hufanya coolant ipoe haraka kuliko maji pale inapofikia maximum temperature...feni itafunguka na kupooza kupunguza joto la coolant inayozunguka ndani ya radiator.
4.....Coolant haina tabia ya ku..evaporate kama maji ya bomba....hivyo kama radiotor haivuji, unaweza kukaa muda mrefu sana bila kiwango cha coolant kupungua..
Hizi coolant huwa na rangi ya Kijani, Blue au Nyekundu kutegemeana na aina ya gari.....Hizo ni rangi tu, kinachomata ni uwiano wa mchanganyiko wa chemicals zilizotumika kutengeneza coolant hiyo..
Kwa sababu hizi, coolant inapooza injini vizuri kuliko maji, hivyo unakuwa na uhakika wa kuilinda Cylinder head yako..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio anaweza? Ni anaweka oil za kupima na mafundi wengi ndo wako hivyo ukiwabana sana utasikia oil ni oil tu ilimrad uwah kufanya servicePoint ya msingi sana umeongea hapa.....
Poor beautiful B ladies...[emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29].
Magari mengi yanayomilikiwa na wanawake huwa na hali nzuri sana kwa upande wa body...
Ila engine huwa miozo kwa sababu...
Wadada wengi hawana knowledge na mashine, na wengi wao hawapendi kuumiza kichwa kuhusu mashine....
Hii inapelekea wao kumpigia fundi simu, fundi anachukua gari na kwenda kulifanyia service wakati dada yupo, Home, Saluni au Kazini...
Matokeo yake fundi anaweza kuweka oil ya kupima ili apate cha juu...
Sent using Jamii Forums mobile app