Habari zenu humu,
Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,
Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,
safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.
Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari
÷÷÷÷÷÷÷MREJESHO÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷
Wapendwa niwashukuru sana kwa maoni yenu, nilifanikiwa kutafuta engine nyingine ya porte , manake ilikuwa ni 1NZ ..CC 1490 .. nilinunua ilala mwenyewe milion moja na laki 3 nkishirikiana na mafundi, nikaisafirisha mpk kigoma, nikamtafuta fundi mjuz akaishusha engine akaipandisha , nikamlipa elfu 60
Chombo imekuwa kama mpya , gari imepona iko poa , chombo inataka safari , chombo inaita,
Nilifanya road test kigoma mpk kibondo nakurudi ,
Nitazingatia service na maelekezo yote ..nawashkuru sana wadau .
Juzi nilikuwa natoka Dar es salaam na gari aina ya Toyota Porte, nikatoka vizuri Dar es salaam tulipofika Manyoni gari ikachemsha, tukaenda kwa fundi akafungua injini akasema gasket zimeungua na tena cylinder head imepinda, sasa ikarekebishwa pale ikakaa vizuri,
Tukiwa njian kulekea Singida mjini taa ya check engine ikawaka tukakagua gari tukagundua kwamba oil ilikuwa haipandi sasa tukatafuta fundi usiku ule ule akarekebisha chujio la oil kule kwenye sample,
safari ikaendelea tulipofika Nzega tukasikia kitu kama kimedondoka kusimama kuangalia, tukakuta vichuma kama piston, na inaonesha injini imefumukia karibu na sample, sasa safari ikaishia hapo.
Je, wataalam humu ndani, nifanyeje? Makosa yalikuwa wapi? Manake service nilifanya wakati naanza safari
÷÷÷÷÷÷÷MREJESHO÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷
Wapendwa niwashukuru sana kwa maoni yenu, nilifanikiwa kutafuta engine nyingine ya porte , manake ilikuwa ni 1NZ ..CC 1490 .. nilinunua ilala mwenyewe milion moja na laki 3 nkishirikiana na mafundi, nikaisafirisha mpk kigoma, nikamtafuta fundi mjuz akaishusha engine akaipandisha , nikamlipa elfu 60
Chombo imekuwa kama mpya , gari imepona iko poa , chombo inataka safari , chombo inaita,
Nilifanya road test kigoma mpk kibondo nakurudi ,
Nitazingatia service na maelekezo yote ..nawashkuru sana wadau .