Msaada: Nifanye biashara gani kukuza mtaji wangu? Nipo Chunya Makongorosi

Msaada: Nifanye biashara gani kukuza mtaji wangu? Nipo Chunya Makongorosi

Hapa umenena kwenye migodi peleka pombe kali

Au jenga lodge fungua danguro, malaya wawe wanakulipa kwa siku chumba atakachotumia

Mitumba inalipa Mbeya mjini tu tena uwe na location nzuri

Maeneo ya migodi biashara za dhambi dhambi ndio huwa zinalipa
Kama una mtaji wako, ukaamua uende uwachukue wahaya 30 wa pale Temeke ukawapeleka Chunya.

Baada ya miezi miwili uwe unafanya rotation kwa kubadilisha mademu, utajikuta una make hela nyingi sana.

Kwasababu kule mtu kutoa 50K kwa short time ni kawaida.
 
We umekutana na huyo dada,ukaenda kununua mzigo anaouza yeye ukauze huko ili iweje?
Umeenda kuharibu biashara yake.
Badala uongee nae akupe issue ya kiume kutafuta hela huko we unaenda tena kuuza pochi.
We mjinga sana.
Na kwa taarifa yako baba yangu alikua DJ huko miaka ya 80.
Alipiga sana hela huku anazuga Dj.
Tushaenda mara kibao pamoja
Hakuwa Dj alikua anazuga tu akizama machimbo huko anarudi na mzigo wa kutosha tunarudi town.
 
Bajeti itamkwamisha kwenye hao mademu

Ila ni biashara ya uhakika

Groceries za Chunya ushindani upo kwenye mademu.

Ukiwa na mademu wakali kila siku utakuwa unajumua vinywaji vipya.
Niliwahi kuingia baa moja chunya mjini, nikakuta sare ya wahudumu ni kanga moja. Unajua kanga moja!!... halafu ulikuwa msimu wa baridi. Wanafunga kanga kwa ule mfumo wa kupitisha huku na huku halafu wanafunga kifundo nyuma ya shingo. (Tumefungwa sana hivi tukiwa wadogo)
 
Niliwahi kuingia baa moja chunya mjini, nikakuta sare ya wahudumu ni kanga moja. Unajua kanga moja!!... halafu ulikuwa msimu wa baridi. Wanafunga kanga kwa ule mfumo wa kupitisha huku na huku halafu wanafunga kifundo nyuma ya shingo. (Tumefungwa sana hivi tukiwa wadogo)
Lubega
 
kaka tafta chumba upangee...usikae kwenye guest house...

fanya research ya kuuza dagaa wa mwanza hapo makongorosi ukishapata soko la uhakika dagaa nitakuagizia kutoka mwanza ama nitakuuganisha na mtu

Mimi niko mbeya lakini hapo makongorosi ni mwenyeji...
 
Fanya biashara ya mekyuri, nakupa mfano nanunua mekyuri kg 1 kwa laki 5 maana sasa ni adimu ila kabla ilikuwa laki 3 nauza gram 1 kwa shs elfu 1, Ila sasa kwa kuwa ni adimu nauza shs 1500 kwa gram 1, piga hesabu utaona faida yake

Ila changamoto yake haitoki upesi inachukua muda hivyo lazima uwe na biashara nyingine ndogo ya kukupa hela ya kula

Wazo la pili kwa hiyo 1m tafuta till za uwakala wa mpesa, tigo, halopesa na Airtel kisha nenda mgodi wwt wa dhahabu uliochangamka ambapo utakuta kutokana na changamoto za upatikanaji wa huduma hizo mteja akirusha hela kuna hela nyingine anakulipa tofauti na ile commission unayopewa na mtandao itakusaidia sana
 
kaka tafta chumba upangee...usikae kwenye guest house...

fanya research ya kuuza dagaa wa mwanza hapo makongorosi ukishapata soko la uhakika dagaa nitakuagizia kutoka mwanza ama nitakuuganisha na mtu

Mimi niko mbeya lakini hapo makongorosi ni mwenyeji...

Shukrani kaka nalifanyia kazi soon nakupa jibu.
 
Fanya biashara ya mekyuri, nakupa mfano nanunua mekyuri kg 1 kwa laki 5 maana sasa ni adimu ila kabla ilikuwa laki 3 nauza gram 1 kwa shs elfu 1, Ila sasa kwa kuwa ni adimu nauza shs 1500 kwa gram 1, piga hesabu utaona faida yake

Ila changamoto yake haitoki upesi inachukua muda hivyo lazima uwe na biashara nyingine ndogo ya kukupa hela ya kula

Wazo la pili kwa hiyo 1m tafuta till za uwakala wa mpesa, tigo, halopesa na Airtel kisha nenda mgodi wwt wa dhahabu uliochangamka ambapo utakuta kutokana na changamoto za upatikanaji wa huduma hizo mteja akirusha hela kuna hela nyingine anakulipa tofauti na ile commission unayopewa na mtandao itakusaidia sana

Shukrani mkuu zote nazifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom