Msaada nifanye nini niwe na amani?

Msaada nifanye nini niwe na amani?

kindikinyer leborosier

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
456
Reaction score
833
Assalam wanajamvi? Bila shaka mpo salama na mnaendelea vyema na majukumu!

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni mwajiriwa wa taasisi moja binafsi, mwaka jana nilipata changamoto mbaya sana inayonipelekea kukosa amani sana.

Kazini mimi ni mchangamfu sina shida na mtu, na hua mara nyingi nakaa kimya, kwenye kujadili mambo ya watu, January 2022 nilipewa vitengo viwili nivisimamie, kimoja nisimamie mwenyewe kingine nisimamie na mwenzangu, nilikubali kwa mikono miwili lkn baadae mwenzangu akaniambia kwasababu yeye amepangiwa kitengo kizito kidogo anaomba mm nimsaidie tuu, kama kutakuwa na shida atakuwa na mimi!

Nilikubali maana jamaa ni mtu wa maneno mengi na mjuaji sana nikaanza kukomaa!

Kazini kuna mashindano sana ya kampuni mbili za mmiliki huyu (ana kampuni mbili) wanashindana sana uzalishaji, kwa upande wa kampuni ya pili idara yangu aliwekwa jamaa moja ambae alifukuzwa kutoka kwetu na mkuu wetu pale, hivyo alikua mshindani wangu mkubwa japo mimi mwanzo sikujali sana!

Ahafla mapema mwezi wa sita nikapata ajali mbaya sana, niliumia sana nyonga, na ajali hiyo niliipata nikiwa naenda kazini, ilikuwa mbaya sana maana nilifikishwa kitengo cha dharura hospitali ya dharura na baadae nikapelkwa hospitali ya taifa kwa kutazamwa zaidi, kwani niliumia sana njia ya mkojo na ilibidi nifanyiwe opereshen.

Picha linaanza:
1. baada ya kutoa taarifa kazini walikaa kimya ikawa ni zile pole za kishkaji tuu, lkn kuhusu fedha nikawa najigharamia, kikao kikakaa nasikia walibishana sana kwenye kikao hatimae wakachanga laki 3, na ofisi ya mkurugenzi ikatoa laki moja huku mm nikitumia zaidi ya mil 3 kwani bima yangu iliisha muda wake mwaka huo.

2. Wakati nipo hoi hospitali napigiwa simu na makamu mkuu wa kitengo, mwanzo sikutaka mupokea lkn alipiga mara nyingi sana, ikabid nipokee, akawa ananiomba nikiweza nikodi pikipiki hivyo hivyo nifike kazini ili nipate ruhusa niliumia sana kwan muda huo nilikua natoka chumba cha opereshen! lkn nilijikaza tuu nikamwabia nitaangali!

3.Baada ya siku mbili kupita alikuja mkuu wa idara kuja kunitazama, kuthibitisha, doh!! alipofika akanipa fedha zile za watumishi na za mkurugenzi, na kupiga picha, alipofika kazini akatangaza "Kindikinya amepata ajali mbaya sana, hata kama atapona, hata kuwa na uwezo tena wa kuwa na mwanamke" nilipata simu nyingi za pole na wengine kuniambia nisijali nitakuwa sawa, niliachana nao kwani nilihakikishiwa nitakuwa sawa na madaktari!

Miezi miwili baada ya kupita, nilijikaza sana nikarudi kazini, kwakweli nilikuta kila kitu kipo hovyo, ilibidi nijikaze sana kupambana, kurudisha hali sawa, nilijituma sana, hadi kufikia desemba hali ikawa walau!

Sasa yote hayo mwaka huu, repoti baada ya kutoka, idara yangu imeshusha sana utendaji kazi, kwa kunilinganisha na yule mshindani wangu wa pili amenizidi sana!

Picha likaanza nikashushwa idara, pili akaletwa mtu mwingine kushika kitengo kile cha ziada, nimekaa kimya, jana nimeshushwa kabisa na kuwa mtumishi wa kawaida, nilikua kimya tuu sikusema kitu, ila maneno yamekuwa mengi sana, yule mkuu aliekuwa akitangaza siwezi kuwa sawa tena, anatangaza kuwa kama si yeye ningefukuzwa kazi, kwakweli nimeumia sana, lkn hua nakaa kimya sana. kila ukitulia linakuja jipya, ninaumia sana, imefikia hatua mpaka nattaka kuacha kazi nitafute kazi nyingine, lkn changamoto za sasa kidogo kupata kazi sio, ushirikina ni mwingi sana, majungu, kutokupendana ah!!

Naombeni ushauri ndugu zangu nifanyaje hapa niwe na amani? asanteni sana
 
Usiondoke hapo. Ukijiengua kila pasipo na amani hata nchini kwako utaondoka maana kote kuna mapichapicha. Shukuru hata una kazi, wengne tunazitafuta hatari.

Wewe ni mwanaume. Jisemeshe kwamba hili nalo litapita. Ni nyakati tu ambazo huwa hazilast muda mrefu. Afu nikupe tip..acha kusikiliza maneno ya watu. Ingia ofisini, fanya kazi, ondoka. Kaa katika nafasi yako vizuri. Afu saiv shukuru umepata ample time ya kufanya mitikasi mingine. Buni mambo kichwani, umiza akili yako ili upate mradi ama biashara ingine (kama huna) ambayo itakuingizia kipato.

Makazini hakunaga true friends kunakuwaga na unafiki sana, hvyo establish boundaries..afu usipende kushiriki katika kuongelea ama kujadili co-worker wenzako. Ukishiriki katika hayo mambedha, na wewe utakua unajadiliwa tu. Maana unakua umepanda mbegu..utavuna matunda yake.

Lakini pia nakuasa..sikulazimishi, sijui wewe ni dini gani ndugu. Katika dini ama imani yako..tafuta kumjua muumba wako. Jizoeze kuishi maisha ya uchaji na ibada. Sisemi uwe addicted kwenye mambo ya Imani..nope, namaanisha seek your Lord because kuna this peace huwa inakuja. Hasa pale unapokumbuka ahadi au neno kutoka katika vitabu vya dini. Kuna namna ufahamu wako utakuwa rejuvinated vizuri mno. Ila kama ulikuwa mchaji, ongeza kiwango chako cha ibada more and more. Panda viwango..kama ulikua hufungi, funga atleast once or twice per week. Kufunga huwa inasaidia sana kushape nafsi zetu..na kutiisha miili yetu.

Maisha sio kwenda staight..hamna iyo. Maisha yana kupanda na kushuka. Accept hapa umeshuka..lakini hiyo ni stepping stone...kuna accelerator unaiendea itakayokulift higher than stage uliyotoka...Stay strong..it shall pass.
 
Usiondoke hapo. Ukijiengua kila pasipo na amani hata nchini kwako utaondoka maana kote kuna mapichapicha. Shukuru hata una kazi, wengne tunazitafuta hatari.

Wewe ni mwanaume. Jisemeshe kwamba hili nalo litapita. Ni nyakati tu ambazo huwa hazilast muda mrefu. Afu nikupe tip..acha kusikiliza maneno ya watu. Ingia ofisini, fanya kazi, ondoka. Kaa katika nafasi yako vizuri. Afu saiv shukuru umepata
Asante sana mkuu!! yote hayo nitayatekeleza kwa umakini mkubwa
 
Ajira zote Zina majira na nyakati zake, yatapita TU kwa namna yoyote. Ila Sasa Anza kuwaza kuwa na Plan B, kama unaweza fungua hata Banda la chips, wape vijana wasimamie mdogo mdogo, Kwa mtazamo wangu hapo kinachopiganiwa ni maslahi tu. Once ukiwa na kipato Cha pembeni Wala hata hicho cheo hutakitaka Tena. Mungu wa mbinguni akubariki
 
Hapo naona ishu za ushirikina zinahusika.
Unaweza usiamini wewe lakini kwa sababu wao wanapractice na wewe huna ant evil power ni lazima udhurike uwe unaamini auamini.
Kaa chini Muombe Mungu omba likizo ukatulize akili mbali ukubali matokeo iache nature iamue kama huna namna ya Kupata Kazi ingine.
Ukirudi job chukulia kila kitu positive Ili kupata aman na kupunguza nguvu ya negative power, usishindane nao. Aliyekutangazia umepata ajali mbaya ndie adui wako. Wazee wa kiswahili wachawi Sana maofisini sababu ya elimu na inferiority complex, thus hawana maendeleo.
 
alipofika kazini akatangaza "Kindikinya amepata ajali mbaya sana, hata kama atapona, hata kuwa na uwezo tena wa kuwa na mwanamke"
Samahani lkn kwani kampuni unayofanyia kazi inahusika na kucheza pornography? Kwamba uwezo wa kua na mwanamke ndio kipimo cha ufanisi wa kazi yako? Kama jibu ni ndio, tafadhali niruhusu nije PM [emoji39]. Ila usiache kazi kabla haujapata kazi. Komaa.
 
assalam wanajamvi? bila shaka mpo salama na mnaendelea vyema na majukumu!
.
.
bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni mwajiriwa wa taasisi moja binafsi, mwaka jana nilipata changamoto mbaya sana inayonipelekea kukosa amani sana.
.
.
kazini mimi ni mchangamfu sina shida na mtu, na hua mara nyingi nakaa kimya, kwenye kujadili mambo ya watu, January 2022 nilipewa vitengo viwili nivisimamie, kimoja nisimamie mwenyewe kingine nisimamie na mwenzangu, nilikubali kwa mikono miwili lkn baadae mwenzangu akaniambia kwasababu yeye amepangiwa kitengo kizito kidogo anaomba mm nimsaidie tuu, kama kutakuwa na shida atakuwa na mimi!
.
.
nilikubali maana jamaa ni mtu wa maneno mengi na mjuaji sana nikaanza kukomaa!
.
.
kazini kuna mashindano sana ya kampuni mbili za mmiliki huyu (ana kampuni mbili) wanashindana sana uzalishaji, kwa upande wa kampuni ya pili idara yangu aliwekwa jamaa moja ambae alifukuzwa kutoka kwetu na mkuu wetu pale, hivyo alikua mshindani wangu mkubwa japo mimi mwanzo sikujali sana!
.
.
ghafla mapema mwezi wa sita nikapata ajali mbaya sana, niliumia sana nyonga, na ajali hiyo niliipata nikiwa naenda kazini, ilikuwa mbaya sana maana nilifikishwa kitengo cha dharura hospitali ya dharura na baadae nikapelkwa hospitali ya taifa kwa kutazamwa zaidi, kwani niliumia sana njia ya mkojo na ilibidi nifanyiwe opereshen.
.
.
picha linaanza:
1. baada ya kutoa taarifa kazini walikaa kimya ikawa ni zile pole za kishkaji tuu, lkn kuhusu fedha nikawa najigharamia, kikao kikakaa nasikia walibishana sana kwenye kikao hatimae wakachanga laki 3, na ofisi ya mkurugenzi ikatoa laki moja huku mm nikitumia zaidi ya mil 3 kwani bima yangu iliisha muda wake mwaka huo.
.
.
2. wakati nipo hoi hospitali napigiwa simu na makamu mkuu wa kitengo, mwanzo sikutaka mupokea lkn alipiga mara nyingi sana, ikabid nipokee, akawa ananiomba nikiweza nikodi pikipiki hivyo hivyo nifike kazini ili nipate ruhusa niliumia sana kwan muda huo nilikua natoka chumba cha opereshen! lkn nilijikaza tuu nikamwabia nitaangali!
.
.
3.baada ya siku mbili kupita alikuja mkuu wa idara kuja kunitazama, kuthibitisha, doh!! alipofika akanipa fedha zile za watumishi na za mkurugenzi, na kupiga picha, alipofika kazini akatangaza "Kindikinya amepata ajali mbaya sana, hata kama atapona, hata kuwa na uwezo tena wa kuwa na mwanamke" nilipata simu nyingi za pole na wengine kuniambia nisijali nitakuwa sawa, niliachana nao kwani nilihakikishiwa nitakuwa sawa na madaktari!
.
.
miezi miwili baada ya kupita, nilijikaza sana nikarudi kazini, kwakweli nilikuta kila kitu kipo hovyo, ilibidi nijikaze sana kupambana, kurudisha hali sawa, nilijituma sana, hadi kufikia desemba hali ikawa walau!

Sasa yote hayo mwaka huu, repoti baada ya kutoka, idara yangu imeshusha sana utendaji kazi, kwa kunilinganisha na yule mshindani wangu wa pili amenizidi sana!
.
.
picha likaanza nikashushwa idara, pili akaletwa mtu mwingine kushika kitengo kile cha ziada, nimekaa kimya, jana nimeshushwa kabisa na kuwa mtumishi wa kawaida, nilikua kimya tuu sikusema kitu, ila maneno yamekuwa mengi sana, yule mkuu aliekuwa akitangaza siwezi kuwa sawa tena, anatangaza kuwa kama si yeye ningefukuzwa kazi, kwakweli nimeumia sana, lkn hua nakaa kimya sana. kila ukitulia linakuja jipya, ninaumia sana, imefikia hatua mpaka nattaka kuacha kazi nitafute kazi nyingine, lkn changamoto za sasa kidogo kupata kazi sio, ushirikina ni mwingi sana, majungu, kutokupendana ah!!

naombeni ushauri ndugu zangu nifanyaje hapa niwe na amani? asanteni sana
Pole kaka
 
Usiondoke hapo. Ukijiengua kila pasipo na amani hata nchini kwako utaondoka maana kote kuna mapichapicha. Shukuru hata una kazi, wengne tunazitafuta hatari.
Ningekuwa na rafiki Kama wewe Toka mwanzo ningekuwa mbali Sana,,

Kwa ushauri huu Uzi ufungwe,,, Kuna miaka nyuma sikupewa kitengo chochote nikatulia TU halafu maswahiba zangu wakawa wanabadioishiwa TU ,kaa hapa nenda pale ,,Mimi nikawa bize wamekuja kushtuka

Nina nyumba ,usafiri,mashamba na biashara na nimewapiga chini maswahiba wote,,,.

Na kitengo nimepewa japo ,wamenipa kiunafiki,,
 
Usiondoke hapo. Ukijiengua kila pasipo na amani hata nchini kwako utaondoka maana kote kuna mapichapicha. Shukuru hata una kazi, wengne tunazitafuta hatari.

Wewe ni mwanaume. Jisemeshe kwamba hili nalo litapita. Ni nyakati tu ambazo huwa hazilast muda mrefu. Afu nikupe tip..acha kusikiliza maneno ya watu. Ingia ofisini, fanya kazi, ondoka. Kaa katika nafasi yako vizuri. Afu saiv shukuru umepata ample time ya kufanya mitikasi mingine. Buni mambo kichwani, umiza akili yako ili upate mradi ama biashara ingine (kama huna) ambayo itakuingizia kipato.

Makazini hakunaga true friends kunakuwaga na unafiki sana, hvyo establish boundaries..afu usipende kushiriki katika kuongelea ama kujadili co-worker wenzako. Ukishiriki katika hayo mambedha, na wewe utakua unajadiliwa tu. Maana unakua umepanda mbegu..utavuna matunda yake.

Lakini pia nakuasa..sikulazimishi, sijui wewe ni dini gani ndugu. Katika dini ama imani yako..tafuta kumjua muumba wako. Jizoeze kuishi maisha ya uchaji na ibada. Sisemi uwe addicted kwenye mambo ya Imani..nope, namaanisha seek your Lord because kuna this peace huwa inakuja. Hasa pale unapokumbuka ahadi au neno kutoka katika vitabu vya dini. Kuna namna ufahamu wako utakuwa rejuvinated vizuri mno. Ila kama ulikuwa mchaji, ongeza kiwango chako cha ibada more and more. Panda viwango..kama ulikua hufungi, funga atleast once or twice per week. Kufunga huwa inasaidia sana kushape nafsi zetu..na kutiisha miili yetu.

Maisha sio kwenda staight..hamna iyo. Maisha yana kupanda na kushuka. Accept hapa umeshuka..lakini hiyo ni stepping stone...kuna accelerator unaiendea itakayokulift higher than stage uliyotoka...Stay strong..it shall pass.

Ushauri mzuri sana huu
 
Usiondoke hapo. Ukijiengua kila pasipo na amani hata nchini kwako utaondoka maana kote kuna mapichapicha. Shukuru hata una kazi, wengne tunazitafuta hatari.

Wewe ni mwanaume. Jisemeshe kwamba hili nalo litapita. Ni nyakati tu ambazo huwa hazilast muda mrefu. Afu nikupe tip..acha kusikiliza maneno ya watu. Ingia ofisini, fanya kazi, ondoka. Kaa katika nafasi yako vizuri. Afu saiv shukuru umepata ample time ya kufanya mitikasi mingine. Buni mambo kichwani, umiza akili yako ili upate mradi ama biashara ingine (kama huna) ambayo itakuingizia kipato.

Makazini hakunaga true friends kunakuwaga na unafiki sana, hvyo establish boundaries..afu usipende kushiriki katika kuongelea ama kujadili co-worker wenzako. Ukishiriki katika hayo mambedha, na wewe utakua unajadiliwa tu. Maana unakua umepanda mbegu..utavuna matunda yake.

Lakini pia nakuasa..sikulazimishi, sijui wewe ni dini gani ndugu. Katika dini ama imani yako..tafuta kumjua muumba wako. Jizoeze kuishi maisha ya uchaji na ibada. Sisemi uwe addicted kwenye mambo ya Imani..nope, namaanisha seek your Lord because kuna this peace huwa inakuja. Hasa pale unapokumbuka ahadi au neno kutoka katika vitabu vya dini. Kuna namna ufahamu wako utakuwa rejuvinated vizuri mno. Ila kama ulikuwa mchaji, ongeza kiwango chako cha ibada more and more. Panda viwango..kama ulikua hufungi, funga atleast once or twice per week. Kufunga huwa inasaidia sana kushape nafsi zetu..na kutiisha miili yetu.

Maisha sio kwenda staight..hamna iyo. Maisha yana kupanda na kushuka. Accept hapa umeshuka..lakini hiyo ni stepping stone...kuna accelerator unaiendea itakayokulift higher than stage uliyotoka...Stay strong..it shall pass.
Best comment ever, your great thinker mkuu
 
Back
Top Bottom