KUNDULE
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 318
- 177
Jamani si utani ni ukweli kabisa yani wakati wa tendo nikishapiz basi siwez rudia tena, punyeto sipigi nakula vizuri sasa cjui tatizo nini nisaidien jamani
Kwa kuongezea mpenzi wangu huwa namfikisha mana namwandaa vizuri mpaka anamaliza ata kabla ya tendo lenyewe
Kwa kuongezea mpenzi wangu huwa namfikisha mana namwandaa vizuri mpaka anamaliza ata kabla ya tendo lenyewe