Msaada: Nikivaa kinga (Kondomu) wakati wa kufanya mapenzi sifiki kileleni

Usi tumie condoms ambazo zina bana sana hasa kama una machine ambayo ni above average kidogo(rough rider, salama na nduguze).Jaribu latex condoms kama (wet n wild ambazo ni easy wear, kuna king size pia ambazo ni xtra large).Ila bao la condom huchelewa kidogo kuliko ukienda kava. Kila la heri
 
Ogopa UKIMWI.
Acha kujiwekea mazingira ya kuathirika kwa starehe ya dakika kumi.
Oa utulie.
 
Ila kweli banaa ukivaa haya makitu bao mpaka ufosi sanaa ndio laja, ndio mana mi nalowekaga tu.
 
IKwa mfano aina/brand zipi mkuu ili tuziepuke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…