Msaada: Nikivaa kinga (Kondomu) wakati wa kufanya mapenzi sifiki kileleni

Msaada: Nikivaa kinga (Kondomu) wakati wa kufanya mapenzi sifiki kileleni

elia kwilasa

Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
81
Reaction score
63
Habari zenu wakuu,

Naomba msaada wenu kwa tatizo hili kwani bila kupata msaada japo wa mawazo naweza pata hata magonjwa ya zinaa na UKIMWI. Ukweli ni kwamba, tangu nianze kufanya mapenzi sijawahi kupiga bao nikitumia kinga (kondomu). Nimejiuliza sana tatzo ni nini sijapata jibu.

Je, kama ni ugonjwa una tiba? Na kama sio ugonjwa nini cha kufanya ili nifanye ngono salama? Maana naogopa sana magonjwa ya zinaa.

Naomba msaada wa mawazo yenu plz
 
Kazi ya bao Ni nini?
je lengo la bao katika kondom linatimia?
Jifunze kuwa multorgasmic man, uendelee kuenjoy the fk.
 
sijui kama ni tatizo ama la.

Cha muhimu tafuta binti unaempenda pimeni magonjwa yote ya zinaa
umuombe sana atumie njia nyingine za kuzuia kupata mimba. Then ufurahie maisha
bila kuwa na wasiwasi.
 
Habari zenu wakuu
Naomba msaada wenu kwa tatizo hili kwani bila kupata msaada japo wa mawazo naweza pata hata magonjwa ya zinaa na ukimwi ukwl ni kwamba tangu nianze kufanya mapenz sijawai kupiga bao nikitumia kinga(kondomu) nimejiuliza Sana tatzo ni nini sijapata jibu
Je Kama ni ugonjwa Una tiba? na Kama sio ugonjwa nini cha kufanya ili nifanye ngono salama maana naogopa Sana magonjwa ya zinaa naomba msaada wa mawazo yenu plz

Michepuko Sio Dili......Baki Njia Kuu...Epuka Ukimwi!

Tafuta Dem Ambaye Mtapima Na Kuaminiana Uwe Unapanda Kavukavu Bila Ndom!
 
Asanteni kwa ushauri wenu wakuu japo sikutegemea km kuna watu wataleta jokes nawashukur pia
 
Umeiset akili yako hivyo ndo mana inatokea
 
Kuna baadhi ya kondom huwa zimewekewa chemicals at the tips ku-delay ejaculation, kwavyo kuwa makini na aina ya kondomu unayotumia, tumia latex za kawaida ambazo Hazina nyongeza ya hizo chemicals mbali na hapo unaweza kuwa na psychological issue, kwahiyo nashauri foreplay muifanye kwa muda wa kutosha na hakikisha akili yako unaiweka katika mtanange
 
Chief JJ mbona mimi nina mkono wa sweta na mambo safi tu!
Huyu jamaa yetu anatatizo aisee.
 
Habari zenu wakuu,

Naomba msaada wenu kwa tatizo hili kwani bila kupata msaada japo wa mawazo naweza pata hata magonjwa ya zinaa na UKIMWI. Ukweli ni kwamba, tangu nianze kufanya mapenzi sijawahi kupiga bao nikitumia kinga (kondomu). Nimejiuliza sana tatzo ni nini sijapata jibu.

Je, kama ni ugonjwa una tiba? Na kama sio ugonjwa nini cha kufanya ili nifanye ngono salama? Maana naogopa sana magonjwa ya zinaa.

Naomba msaada wa mawazo yenu plz

Acha Ngono Kabisa,muogope Alokuumba Wewe
 
Back
Top Bottom