Msaada: Nikiweka TBC 1 Mwanangu analia sana

katakuwa na makengeza hako katoto .... baadae katakuwa kamwenyekiti
 
Peleka mtoto kanisani aombewe pia ebu jaribu kumuwekea video za wakubwa utaona anavyochekelea kuona mambo ya kishetani
Tamaduni zetu zinavyunjwa kwa ushabiki channel nyingine zina mambo ya kizungu sana .....acha kumwalibu mtoto kwa kumuwekea picha za video chafu
 
..Nishushe hapo mbelee...sio kwa fix hizo..!!
 


Watoto wana namna nyingi ya kuwasiliana inawezekana hakutaki na hiyo ni ishara kwamba anakukana, ningekushauri ukanye DNA testing ili kuepuka usumbufu mbeleni!
 
Watoto wana namna nyingi ya kuwasiliana inawezekana hakutaki na hiyo ni ishara kwamba anakukana, ningekushauri ukanye DNA testing ili kuepuka usumbufu mbeleni!
Hahahaaa..... Sina haja na DNA najiamini mkuu.
 
Mkuu vipi wakati huo hapo kwenye screen kunakuwa na picha ya kiongozi gani labda huenda ndio chanzo[emoji86] [emoji86]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…