Msaada: Niligundulika na tatizo la vidonda vya tumbo, dozi niliyopewa imeisha lakini sijapata nafuu

Msaada: Niligundulika na tatizo la vidonda vya tumbo, dozi niliyopewa imeisha lakini sijapata nafuu

Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Ndugu huu ugojwa usikie tu ni ugojwa mbaya sana mie umenitesa sana kwa miaka zaidi ya 15 hadi majuzi nikiwa China nikaugua na kwenda pharmacy yao aisee hadi sasa najiona kama nimezaliwa upya. Nakushauri kama una ndugu yuko China kanunue dawa huko achana na hizi dawa za hapa nchini kwamba tumia majani haya mara asali yaani hamna lolote
 
Kwa dawa za hospitali kupima sahau zinatuliza badilisha mlo kwanza then angalia matibabu mengine ya kiasili
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Hakuna dawa ya hospitalini inayotibu hilo tatizo mkuu!wanatoa dawa za kutuliza tu!!

Chamsingi njia pekee ni kutumia maji moto Ili kuzuia uzalishwaji wa tindikali nyingi kwa tumbo!!

Amka na vikombe viwili vya green tea ya moto walau vikombe viwili,kama huna green tea tumia chai ya kawaida lakini hizo chai zote usiweke sukari kabisa!!

Baada ya wiki utaanza kuona unafuu!!

Chai moto sugar free inasaidia!!
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Haya ni maelezo kutoka hospital kubwa ya mayo clinic iliyopo marekani kwa mujibu wao huu ugonjwa hauponi ila dalili zinaweza kupungua ukifuata vzr ushauri na tiba

Tatizo kubwa watu huwa tunapenda kumeza dawa na kupona ila hatujui kama tunatakiwa kuishi vipi kulingana na hali hii.
Dawa pekee haitoshi u anatakiwa ku adjust lifestyle

Screenshot_20240725-234001.jpg
 
😥😥pole sana. Ila vidonda vya tumbo vinataka sana utulivu,ambao wengi wenu mnaovipata hamna utulivu.
Nadhani zpo dawa za kukutuliza, ila sio kukuponyesha.
Na ukitulia tulia kweli, fanya mambo yako, kula vizuri, no stress no gas substance no maharage no pilipi
 
Achana na madawa ya hospital mkuu utapoteza muda na fedha, tafuta dawa za asili kwenye maduka ya dawa za asili zilizosajiliwa lakini sio zile za kupewa maelekezo tu
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Pole sana,

Unapozungumzia Crohn's disease haushughuliki na vidonda vya tumbo(Peptic Ulcers disease). Huu ni ugonjwa ambao uko kweye kundi la Inflammatory bowel syndrome. Hapa kuna magonjwa mawili: Crohn's na Ulcerative colitis. Magonjwa haya yana asili ya kurithi kwenye uzao.

Suala la kwanza la msingi ni kuhakiki tatizo la msingi/ugonjwa husika. Suala la pili ni kuelewa kuwa kama ni kweli una ugonjwa husika hauponi moja kwa moja ila utaweza kuweka dalili nje ya mfumo wa maisha yako.

Hakuna dawa moja yenye kufanya kazi kwa uhakika kwa wagonjwa wote. Dawa zipo ila huweza kuwakubali au kutokukubali mgonjwa mmoja na mwingine kwenda vyema na dawa aina fulani. Pia, kiasi cha tatizo huweza kuwa msingi wa kurejea vyema mapema. Jambo jema ni mgonjwa kuendelea na tiba ukimjulisha mtoa tiba maendeleo yako.

Tiba halisi inahusisha:
1: kushirikiana kwa karibu na daktari bingwa wa njia ya chakula.

2: Tumia dawa kwa kadri ulivyoelekezwa.

3: Zingatia aina ya vyakula ambavyo ukivitumia huleta shida kwenye tumbo, mfamo: kuharisha, tumbo kujaa, maumivu ya tumbo au choo kuwa kigumu.

4: Kufanya vipimo vya ufatiliaji wa mwenendo wa mwili wako, kwani huu ni ugonjwa unaoathiri mifumo mingine ya mwili pia.

NB: Ukizingatia 1,2 na 3 hapo juu utaweza kuishi vyema na tatizo husika.
 
Vidonda vya tumbo haviumi chini kulia. Mara nyingi ni juu, hasa juu kushoto. Chini kulia inaweza kuwa appendicitis au kidole tumbo. Lakini kama umeambiwa ni Crohn's disease huo ni kitu kingine, siyo vidonda vya tumbo. Na matibabu yake yanahitaji mtaalamu mzuri.
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Mkuu pole kwa maradhi yako ya vidonda vya tumbo hutoweza kupona maradhi yako kwa dawa za hospitali nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa ppole.
 
Back
Top Bottom