Msaada: Niligundulika na tatizo la vidonda vya tumbo, dozi niliyopewa imeisha lakini sijapata nafuu

Msaada: Niligundulika na tatizo la vidonda vya tumbo, dozi niliyopewa imeisha lakini sijapata nafuu

Ndugu huu ugojwa usikie tu ni ugojwa mbaya sana mie umenitesa sana kwa miaka zaidi ya 15 hadi majuzi nikiwa China nikaugua na kwenda pharmacy yao aisee hadi sasa najiona kama nimezaliwa upya. Nakushauri kama una ndugu yuko China kanunue dawa huko achana na hizi dawa za hapa nchini kwamba tumia majani haya mara asali yaani hamna lolote
Mkuu naomba kujua dawa uliotumia
 
Naona kuna watu hawajanielewa niweke hii kitu sawa.
Wakuu mimi sina vidonda vya tumbo bali nina kidonda kwenye utumbo mkubwa na huo ugonjwa kitaalam wanaita crohn's disease
 
Pole sana,

Unapozungumzia Crohn's disease haushughuliki na vidonda vya tumbo(Peptic Ulcers disease). Huu ni ugonjwa ambao uko kweye kundi la Inflammatory bowel syndrome. Hapa kuna magonjwa mawili: Crohn's na Ulcerative colitis. Magonjwa haya yana asili ya kurithi kwenye uzao.

Suala la kwanza la msingi ni kuhakiki tatizo la msingi/ugonjwa husika. Suala la pili ni kuelewa kuwa kama ni kweli una ugonjwa husika hauponi moja kwa moja ila utaweza kuweka dalili nje ya mfumo wa maisha yako.

Hakuna dawa moja yenye kufanya kazi kwa uhakika kwa wagonjwa wote. Dawa zipo ila huweza kuwakubali au kutokukubali mgonjwa mmoja na mwingine kwenda vyema na dawa aina fulani. Pia, kiasi cha tatizo huweza kuwa msingi wa kurejea vyema mapema. Jambo jema ni mgonjwa kuendelea na tiba ukimjulisha mtoa tiba maendeleo yako.

Tiba halisi inahusisha:
1: kushirikiana kwa karibu na daktari bingwa wa njia ya chakula.

2: Tumia dawa kwa kadri ulivyoelekezwa.

3: Zingatia aina ya vyakula ambavyo ukivitumia huleta shida kwenye tumbo, mfamo: kuharisha, tumbo kujaa, maumivu ya tumbo au choo kuwa kigumu.

4: Kufanya vipimo vya ufatiliaji wa mwenendo wa mwili wako, kwani huu ni ugonjwa unaoathiri mifumo mingine ya mwili pia.

NB: Ukizingatia 1,2 na 3 hapo juu utaweza kuishi vyema na tatizo husika.
Asanteh mkuu nimekuelewa
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Tumia dawa za asili mm zilinisaidia sasa hivi nakula hata pilipili
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Hiyo kitu haiponi over dozi ya siku moja au mbili, bali ni series ya diety maalum na dawa kwa kipindi fulani
 
Usiamini daktari mmoja
Nenda kwa mwingine
Labda una mawe who knows
Mimi huwa nawaona kama waganga wa kienyeji
Hata wawekewe mitambo ya aina gani wanaotabiri tu au zimeharibika au hawajui tu kuzitumia
Kuna jamaa yangu kaambiwa ana Tezi dume kumbe ni mawe
 
Polee sana choma sindano ya pantopra
Usiamini daktari mmoja
Nenda kwa mwingine
Labda una mawe who knows
Mimi huwa nawaona kama waganga wa kienyeji
Hata wawekewe mitambo ya aina gani wanaotabiri tu au zimeharibika au hawajui tu kuzitumia
Kuna jamaa yangu kaambiwa ana Tezi dume kumbe ni mawe
Wazo zuri
 
Pole sana,

Unapozungumzia Crohn's disease haushughuliki na vidonda vya tumbo(Peptic Ulcers disease). Huu ni ugonjwa ambao uko kweye kundi la Inflammatory bowel syndrome. Hapa kuna magonjwa mawili: Crohn's na Ulcerative colitis. Magonjwa haya yana asili ya kurithi kwenye uzao.

Suala la kwanza la msingi ni kuhakiki tatizo la msingi/ugonjwa husika. Suala la pili ni kuelewa kuwa kama ni kweli una ugonjwa husika hauponi moja kwa moja ila utaweza kuweka dalili nje ya mfumo wa maisha yako.

Hakuna dawa moja yenye kufanya kazi kwa uhakika kwa wagonjwa wote. Dawa zipo ila huweza kuwakubali au kutokukubali mgonjwa mmoja na mwingine kwenda vyema na dawa aina fulani. Pia, kiasi cha tatizo huweza kuwa msingi wa kurejea vyema mapema. Jambo jema ni mgonjwa kuendelea na tiba ukimjulisha mtoa tiba maendeleo yako.

Tiba halisi inahusisha:
1: kushirikiana kwa karibu na daktari bingwa wa njia ya chakula.

2: Tumia dawa kwa kadri ulivyoelekezwa.

3: Zingatia aina ya vyakula ambavyo ukivitumia huleta shida kwenye tumbo, mfamo: kuharisha, tumbo kujaa, maumivu ya tumbo au choo kuwa kigumu.

4: Kufanya vipimo vya ufatiliaji wa mwenendo wa mwili wako, kwani huu ni ugonjwa unaoathiri mifumo mingine ya mwili pia.

NB: Ukizingatia 1,2 na 3 hapo juu utaweza kuishi vyema na tatizo husika.
Hapo nimeelewa
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.
Rudi kwa Daktari
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.

Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.

Naomba mnisaidie napata shida sana.

Asanteni.

Pole !
Vidonda vya Tumbo ni tatizo la mfumo wa Mmeng’enyo wa chakula ambapo nishati zake huwa haziko kwenye uwiano sahihi kwenye Mfumo wa Tumbo hivyo kusababisha matatizo mbalimbali likiwemo hilo la Vidonda vya Tumbo

( Water Energy & Fire energy)

Heshoutang Natural healthy system / Xianhe International

VIDONDA VYA TUMBO : ( Stomach & Spleen system SS)

Mifumo inayohusika na Mmeng’enyo wa chakula ipo 2 , ambayo ni Mfumo wa INi & Nyongo pamoja na Mfumo wa Tumbo & Bandama / Stomach & Spleen system SS.

1. Burning Stomach/ maumivu ya kuwaka Moto tumboni :
Hii dalili huonesha Water Energy ipo chini au imepungua kwenye Mfumo wa Tumbo hivyo kusababisha Sumu Moto kuzalishwa / Uric acid / Fire toxin high to burn Stomach

TIBA :
Tutahitaji ku clear fire toxin or Uric acid pamoja na kuimarisha mfumo wa Tumbo
( Tutakupa dawa aina 2 kwa ajili ya Kazi hiyo )

Lakini kama itaonesha nishati Moto ipo chini basi tatizo litakuwa limetokana na Mfumo wa Tumbo kuwa dhaifu hivyo kushindwa kihimili Juice ya Nyongo / it can’t buffer extra gastric acid
Lakini ikiwa ndio hivyo tatizo litaambatana na kuharisha au kutapika chakula kisichomeng’enywa etc

TIBA :
Tunarudishia nishati Moto kwenye Mfumo wa Tumbo / replenish Fire energy into SS
Na tatizo litakuwa limeisha
( kuna dawa za kanuni hiyo tutakupa )

[emoji117]Sharp or Dull pain in Stomach or around belly button ;

Kwa ujumla tatizo hilo hutokana na mkwamo wa mzunguko wa damu / Blood stuck or blockage

TIBA :
Tunavunja damu iliyoganda au mkwamo wowote kwenye tumbo , pamoja na kulainisha nishati kwenye Mfumo wa Ini , ili kuwezesha mzunguko kuwa vizuri hivyo kuondoa hiyo shida !

Tatizo lolote la kiafya wasiliana nasi
Dawa zetu ni Natural zenye uwezo mkubwa sana wa kutibu kila ugonjwa

+255653048888
www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office
 
Back
Top Bottom