Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nilipata shida miezi miwili iliyopita nilikuwa nasikia maumivu kwenye tumbo upande wa kulia kwa chini. Baada ya kwenda kupima niligundulika nina kidonda kwenye utumbo mkubwa Doctor alisema ugonjwa nilio nao unaitwa chlons disease. Nilipewa dawa nikatumia mwezi 1 nikamaliza dose kwa sasa nina week 2 toka nimalize dose lakini naona bado shida ipo kwa sababu bado napata maumivu kama mwanzoni.
Naomba ushauri wa kitaalam ni aina gani ya dosage itanifaa.
Naomba mnisaidie napata shida sana.
Asanteni.
Pole !
Vidonda vya Tumbo ni tatizo la mfumo wa Mmeng’enyo wa chakula ambapo nishati zake huwa haziko kwenye uwiano sahihi kwenye Mfumo wa Tumbo hivyo kusababisha matatizo mbalimbali likiwemo hilo la Vidonda vya Tumbo
( Water Energy & Fire energy)
Heshoutang Natural healthy system / Xianhe International
VIDONDA VYA TUMBO : ( Stomach & Spleen system SS)
Mifumo inayohusika na Mmeng’enyo wa chakula ipo 2 , ambayo ni Mfumo wa INi & Nyongo pamoja na Mfumo wa Tumbo & Bandama / Stomach & Spleen system SS.
1. Burning Stomach/ maumivu ya kuwaka Moto tumboni :
Hii dalili huonesha Water Energy ipo chini au imepungua kwenye Mfumo wa Tumbo hivyo kusababisha Sumu Moto kuzalishwa / Uric acid / Fire toxin high to burn Stomach
TIBA :
Tutahitaji ku clear fire toxin or Uric acid pamoja na kuimarisha mfumo wa Tumbo
( Tutakupa dawa aina 2 kwa ajili ya Kazi hiyo )
Lakini kama itaonesha nishati Moto ipo chini basi tatizo litakuwa limetokana na Mfumo wa Tumbo kuwa dhaifu hivyo kushindwa kihimili Juice ya Nyongo / it can’t buffer extra gastric acid
Lakini ikiwa ndio hivyo tatizo litaambatana na kuharisha au kutapika chakula kisichomeng’enywa etc
TIBA :
Tunarudishia nishati Moto kwenye Mfumo wa Tumbo / replenish Fire energy into SS
Na tatizo litakuwa limeisha
( kuna dawa za kanuni hiyo tutakupa )
[emoji117]Sharp or Dull pain in Stomach or around belly button ;
Kwa ujumla tatizo hilo hutokana na mkwamo wa mzunguko wa damu / Blood stuck or blockage
TIBA :
Tunavunja damu iliyoganda au mkwamo wowote kwenye tumbo , pamoja na kulainisha nishati kwenye Mfumo wa Ini , ili kuwezesha mzunguko kuwa vizuri hivyo kuondoa hiyo shida !
Tatizo lolote la kiafya wasiliana nasi
Dawa zetu ni Natural zenye uwezo mkubwa sana wa kutibu kila ugonjwa
+255653048888
www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office