Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Hivi unawaachiaje mpaka wanakuandikia? Wakati buku 5 yako tu inakuokolea 25kNiliambiwa nilipe kabla ya tarehe 15 Oktoba. Je ukipitisha siku deni linaongezeka?
Je, ni kosa kuendesha gari lenye faini ya Polisi?
Msaada please.