Hivi unawaachiaje mpaka wanakuandikia? Wakati buku 5 yako tu inakuokolea 25kNiliambiwa nilipe kabla ya tarehe 15 Oktoba. Je ukipitisha siku deni linaongezeka?
Je, ni kosa kuendesha gari lenye faini ya Polisi?
Msaada please.
Ni kosa ndio wakikunasa tena wanakung'ang'ania hadi ulipeJe ni kosa kuendesha gari likiwa na faini ambayo haijalipwa?
Ukimtajia namba ya simu imatoa.Hivi Kwanini system ya faini za polisi hazitoi notification endapo ukiandikiwa.
Je ni kosa kuendesha gari likiwa na faini ambayo haijalipwa?
Mbona 5 nyingi buku 2 tu hyo nyengne unakunywa supu na chapatHivi unawaachiaje mpaka wanakuandikia? Wakati buku 5 yako tu inakuokolea 25k