Hata mimi nahisi hivyo mkuu na hata wafanyakaz wengne wanashangaa na wanamhsi msimamizi ndo kafanya hvyo maana wanasema ndo zake hasa ukizingatia nilikuwa kwenye kitengo cha karibu na yy kama msaidizi wa karibu katika masuala ya management
Pamoja na hayo je nichukue hatua gan mkuu
Hatua za kuchukua
Kwanza omba appointment na huyo bosi wako wa DSM ukae naye chini akufafanulie makosa yako, from there utajua nini cha kufanya, be patient, usikurupuke
Soma sheria hiyo ya ajira na mahusiano kazini 2004 na sheria ya utumishi wa umma,2009 vifungu ulivyoelekezwa ili uandike barua kwa kurejea vifungu vilivyokiukwa!
Je! Ulijionyesha kujihusisha na siasa za mabadiliko? Maana hili nalo kosa kubwa siku hizi.
wasaalam
kama kichwa cha habari kinavyojieleza
niliajiriwa serikali kuu mapema mwaka huu baada ya kusota kwa zaidi ya miaka miwili mtaani katika masharti ya kudumu na mafao ya uzeeni na probation period ya mwaka mmoja
baada ya miezi 7 tangu nianze kazi niliandikiwa barua ya kuachishwa kazi huku sababu iliyoelezwa ni missconduct
lakini kinachoshangaza ni kwamba tangu nianze kazi sikuwahi kuitwa kuhusu shauri lolote linalohusiana na missconduct kati yangu na msimamizi wa kituo cha kazi na nilikuwa nafanya kazi kama kawaida na kiukweli kabisa sikuwahi kufanya kosa lolote lile
kubwa zaidi nimeandikiwa barua nikiwa katika mapumziko baada ya kumaliza matibabu ambapo yaliyotokana na mimi kupata ajali ya bodaboda wakati natoka kazini ambapo dereva aliingia mtaron na kunisababishia kuvunjika mkono wa kulia ambapo nilipewa rufaa na kuletwa dsm kwa ajili ya matibabu
baada ya kufanyiwa upasuaji nilirudi kazin (mkoani) na kuwasilisha ed niliypewa na daktari inayonitaka nipumzike kwa wiiki 4 kuuguza mkono
nimeandikiwa barua ya kuachishwa kazi sku mbili baada ya kuanza mapumziko mara baada ya kurud kutoka kwenye matibabu
ieleweke kuwa mwajiri wangu yupo dsm na kule mkoani yupo msimamizi
pia ieleweke nilipewa ruhusa kama kawaida na kupewa fedha za kunisaidia nauli na kujikimu na msimamizi wangu
nimejaribu kufatilia kupata ufafanuzi nijue makosa niliyofanya lakini mwajiri haoneshi ushirikiano wowote
je, nichukue hatua gani???
Je, kuna uwezekano wa kurejeshwa kazini?
Naombeni msaada na kama kuna mwanasheria aliye tayari kunisaidia tafadhali, naomba anichek kwa inbox
nb: Sijawahi kuitwa kuhsu shauri lolote la maadili au utendajj kazi. Kwa lugha rahsi sjawahi kusikilizwa wala kujitetea
natanguliza shukrani n mbarikiwe
pole sana mkuu. Makampuni yanatofautiana na sio kila kosa lazima upewe onyo, kuna baadhi ya makosa ukifanya adhabu yake ni kuachishwa kazi japo hilo inabidi liwepo na liwe wazi kwenye mkataba wako wa kazi au kanuni na taratibu za mwenendo wa wafanyakazi wa hiyo kampuni.
Kama haujafanya kosa linaloangukia kwenye hayo yaliyoainishwa ambayo yatakufanya upoteze kazi, unaweza kuanza kutafuta wanasheria kwa msaada zaidi. Kwa kipindi cha miezi 7 kosa pekee ambalo lingekupotezea kazi ni utendaji wa kazi kwa sababu ulikua bado upo kwenye probation, na hapo ungeitwa nakuelezwa ni wapi uongeze bidii ili kuboresha utendaji wako.
ww unazingua, ulikuwa kwenye probation ukachukua leave ukute ulisingizia ugonjwa, nnavojua ukiwa kwenye probation yo nat etittld kuchukua leave, kama kwel ulikuwa waumwa bas umeonewa bt kama ulfanya ubishooo ili ule bata imekula kwako
hakuwa mfanyi kazi wa kampuni.
yaani yule dem alimponza au mitungiiii
Pole sana mkuu. Makampuni yanatofautiana na sio kila kosa lazima upewe onyo, kuna baadhi ya makosa ukifanya adhabu yake ni kuachishwa kazi japo hilo inabidi liwepo na liwe wazi kwenye mkataba wako wa kazi au kanuni na taratibu za mwenendo wa wafanyakazi wa hiyo kampuni.
Kama haujafanya kosa linaloangukia kwenye hayo yaliyoainishwa ambayo yatakufanya upoteze kazi, unaweza kuanza kutafuta wanasheria kwa msaada zaidi. Kwa kipindi cha miezi 7 kosa pekee ambalo lingekupotezea kazi ni utendaji wa kazi kwa sababu ulikua bado upo kwenye probation, na hapo ungeitwa nakuelezwa ni wapi uongeze bidii ili kuboresha utendaji wako.
Amesema serikali kuu. Suala kampuni linatoka wapi?
mkuu pole sana .
kwanza naomba udonlod Employment and labour relation act ya mwaka 2004
alafu pitia vifungu vifuatavo kwa vile umenambia unafanya seriklini.
emploiment standads . section 14 hadi 16 kwa umakini mkubwa
alafu soma ukizidisha uumakini mara mbili sub part e (unfair termination) inapatkana section 35 hadi section 44.
baada ya kuelewa hapo soma section 32 inaelezea mambo ya sick leave na mambo ya gonjwa kazini.
katika jinsi yakutatua mgogoro wako kuna hatua ya cma imeelezwa section 86 kuendelea
ikishindikana hatua hiyo maahakama itausika na mahakama itaamua vitu vitatu reingejiment kompasesheni au riinstetment. kwa mujibu wa section 40.
haya yote yatawezekana kama umefanya kazi zaidi ya miezi sita .
ikiwa ndivyo soma uelewe kesi umeshinda komaaa
Mkuu kiukweli nimeambiwa tu ni MISSCONDUCT though sjui ni missconduct gan
Na wala barua haijaeleza kama sijaridhika nifanye nn
Ni kwamba nimeambiwa tu nalipwa mshahara wa mwezi mmoja badala ya notice
Kuhusu suala la chama cha wafanyakazi to be honest.. Nilikuwa sijajiunga bado