Msaada: Nimeachishwa kazi

Msaada: Nimeachishwa kazi

Hata mimi nahisi hivyo mkuu na hata wafanyakaz wengne wanashangaa na wanamhsi msimamizi ndo kafanya hvyo maana wanasema ndo zake hasa ukizingatia nilikuwa kwenye kitengo cha karibu na yy kama msaidizi wa karibu katika masuala ya management

Pamoja na hayo je nichukue hatua gan mkuu

Hatua za kuchukua

Kwanza omba appointment na huyo bosi wako wa DSM ukae naye chini akufafanulie makosa yako, from there utajua nini cha kufanya, be patient, usikurupuke
 
Soma sheria hiyo ya ajira na mahusiano kazini 2004 na sheria ya utumishi wa umma,2009 vifungu ulivyoelekezwa ili uandike barua kwa kurejea vifungu vilivyokiukwa!
 
Hatua za kuchukua

Kwanza omba appointment na huyo bosi wako wa DSM ukae naye chini akufafanulie makosa yako, from there utajua nini cha kufanya, be patient, usikurupuke

Mkuu niliomba appointment lakin mwajiri amenipuuza hadi sasa na sku zinaendA unakaribia mwezi sasa
 
Soma sheria hiyo ya ajira na mahusiano kazini 2004 na sheria ya utumishi wa umma,2009 vifungu ulivyoelekezwa ili uandike barua kwa kurejea vifungu vilivyokiukwa!

Mkuu nimemwandikia hyo barua mwajiri na nimequote maeneo hayo ambayo naona yamekiukwa

Hata hvyo unakaribia mwezi sasa sijajibiwa chochote
 
wasaalam
kama kichwa cha habari kinavyojieleza

niliajiriwa serikali kuu mapema mwaka huu baada ya kusota kwa zaidi ya miaka miwili mtaani katika masharti ya kudumu na mafao ya uzeeni na probation period ya mwaka mmoja

baada ya miezi 7 tangu nianze kazi niliandikiwa barua ya kuachishwa kazi huku sababu iliyoelezwa ni missconduct

lakini kinachoshangaza ni kwamba tangu nianze kazi sikuwahi kuitwa kuhusu shauri lolote linalohusiana na missconduct kati yangu na msimamizi wa kituo cha kazi na nilikuwa nafanya kazi kama kawaida na kiukweli kabisa sikuwahi kufanya kosa lolote lile

kubwa zaidi nimeandikiwa barua nikiwa katika mapumziko baada ya kumaliza matibabu ambapo yaliyotokana na mimi kupata ajali ya bodaboda wakati natoka kazini ambapo dereva aliingia mtaron na kunisababishia kuvunjika mkono wa kulia ambapo nilipewa rufaa na kuletwa dsm kwa ajili ya matibabu

baada ya kufanyiwa upasuaji nilirudi kazin (mkoani) na kuwasilisha ed niliypewa na daktari inayonitaka nipumzike kwa wiiki 4 kuuguza mkono

nimeandikiwa barua ya kuachishwa kazi sku mbili baada ya kuanza mapumziko mara baada ya kurud kutoka kwenye matibabu

ieleweke kuwa mwajiri wangu yupo dsm na kule mkoani yupo msimamizi

pia ieleweke nilipewa ruhusa kama kawaida na kupewa fedha za kunisaidia nauli na kujikimu na msimamizi wangu

nimejaribu kufatilia kupata ufafanuzi nijue makosa niliyofanya lakini mwajiri haoneshi ushirikiano wowote

je, nichukue hatua gani???

Je, kuna uwezekano wa kurejeshwa kazini?

Naombeni msaada na kama kuna mwanasheria aliye tayari kunisaidia tafadhali, naomba anichek kwa inbox

nb: Sijawahi kuitwa kuhsu shauri lolote la maadili au utendajj kazi. Kwa lugha rahsi sjawahi kusikilizwa wala kujitetea

natanguliza shukrani n mbarikiwe

wamegundua wewe sio ccm.....
Ushauri.
Mu ue...just kill him/her
 
pole sana mkuu. Makampuni yanatofautiana na sio kila kosa lazima upewe onyo, kuna baadhi ya makosa ukifanya adhabu yake ni kuachishwa kazi japo hilo inabidi liwepo na liwe wazi kwenye mkataba wako wa kazi au kanuni na taratibu za mwenendo wa wafanyakazi wa hiyo kampuni.

Kama haujafanya kosa linaloangukia kwenye hayo yaliyoainishwa ambayo yatakufanya upoteze kazi, unaweza kuanza kutafuta wanasheria kwa msaada zaidi. Kwa kipindi cha miezi 7 kosa pekee ambalo lingekupotezea kazi ni utendaji wa kazi kwa sababu ulikua bado upo kwenye probation, na hapo ungeitwa nakuelezwa ni wapi uongeze bidii ili kuboresha utendaji wako.

hakuwa mfanyi kazi wa kampuni.
 
ww unazingua, ulikuwa kwenye probation ukachukua leave ukute ulisingizia ugonjwa, nnavojua ukiwa kwenye probation yo nat etittld kuchukua leave, kama kwel ulikuwa waumwa bas umeonewa bt kama ulfanya ubishooo ili ule bata imekula kwako

yaani yule dem alimponza au mitungiiii
 
hakuwa mfanyi kazi wa kampuni.

Ameshalitolea ufafanuzi, hata kama ni serikalini kuna taratibu zake zinazoongoza waajiriwa na kuelezea nini kinategemewa kwa mwajiri na mwajiriwa na makosa yanayoweza kumfukuzisha mtu kazi bila onyo na makosa yanayopelekea kupewa onyo. Shukrani mkuu
 
Pole sana mkuu. Makampuni yanatofautiana na sio kila kosa lazima upewe onyo, kuna baadhi ya makosa ukifanya adhabu yake ni kuachishwa kazi japo hilo inabidi liwepo na liwe wazi kwenye mkataba wako wa kazi au kanuni na taratibu za mwenendo wa wafanyakazi wa hiyo kampuni.

Kama haujafanya kosa linaloangukia kwenye hayo yaliyoainishwa ambayo yatakufanya upoteze kazi, unaweza kuanza kutafuta wanasheria kwa msaada zaidi. Kwa kipindi cha miezi 7 kosa pekee ambalo lingekupotezea kazi ni utendaji wa kazi kwa sababu ulikua bado upo kwenye probation, na hapo ungeitwa nakuelezwa ni wapi uongeze bidii ili kuboresha utendaji wako.

Amesema serikali kuu. Suala kampuni linatoka wapi?
 
mkuu pole sana .

kwanza naomba udonlod Employment and labour relation act ya mwaka 2004

alafu pitia vifungu vifuatavo kwa vile umenambia unafanya seriklini.


emploiment standads . section 14 hadi 16 kwa umakini mkubwa

alafu soma ukizidisha uumakini mara mbili sub part e (unfair termination) inapatkana section 35 hadi section 44.

baada ya kuelewa hapo soma section 32 inaelezea mambo ya sick leave na mambo ya gonjwa kazini.

katika jinsi yakutatua mgogoro wako kuna hatua ya cma imeelezwa section 86 kuendelea

ikishindikana hatua hiyo maahakama itausika na mahakama itaamua vitu vitatu reingejiment kompasesheni au riinstetment. kwa mujibu wa section 40.




haya yote yatawezekana kama umefanya kazi zaidi ya miezi sita .


ikiwa ndivyo soma uelewe kesi umeshinda komaaa

na pia kwa kuongezeaaa adownload case ya daniel case kwan pia,nayo ataelewa maan huyu alikuwa nae terminate kazid bila kosa
 
Hivi serikalin napo wanafukuza mfanyakazi kiswngerema hivi kuna namna hapo hakuna jengine
 
Soma yeremia 33:3, zbr 125, nenda knsn toa sadaka ya shukrani Mungu aingilie kati, usiogope wala usifadhaike, yohana 14: 1_6, kwa Mungu yote yanawezekana
 
Mkuu kiukweli nimeambiwa tu ni MISSCONDUCT though sjui ni missconduct gan
Na wala barua haijaeleza kama sijaridhika nifanye nn

Ni kwamba nimeambiwa tu nalipwa mshahara wa mwezi mmoja badala ya notice

Kuhusu suala la chama cha wafanyakazi to be honest.. Nilikuwa sijajiunga bado


any misconduct should be well explained if an employee is to be expeled,

japo kama umeajiriwa serikali kuu ni eneo ambalo linahitaji sana ufwate baadhi ya professionals codes of conduct maana ni sehemu nyeti na uwe na uwezo mzuri wakutenda kazi.

je hujawahi toa siri za ofisi?
wewe ni mlevi?
umepokea rushwa?
vipi kuhusu mahusiano yako ya mapenzi na kazi, angalia vizuri kuna mahali umeingilia anga za boss au msimamizi wako kwakujitia ujuaji akaona usiwe nuksi,
hapo na wewe hakikisha umepita sheria katika mkataba waho na umhoji kwa barua kuwa hajaainisha kosa lako
 
Back
Top Bottom