Msaada: Nimefikia hatua ya kunywa Pepsi 4 kwa siku, nifanyeje kuacha?

R.i.p in advance
 
Kama ulivyoanza kujenga tabia ya kuzinywa taratibu, tumia njia hiyo hiyo yakupunguza, kunywa moja kwa siku, then ifike mahali unywe moja kila baada ya siku 2 na hatimaye utaacha kabisa.

Vyema ukapanga ratiba ya kunywa maji nzuri ambayo itakufanya usiku ukilala usiamke hovyo hovyo kukojoa,

Jitahidi ulale masaa 8 mfululizo kuondoa stress na misongo ya mawazo inayokuchagiza kutafuta Pepsi ilipo ukidhani inakupunguzia stress kumbe inakuongezea maradhi.
 
Anza kupunguza. Kama hizo mbili za usiku unakunywa nyumbani usinunue kabisa. Fridge lako lijae maji. Na mchana kunywa moja tu. Jizoeshe kutembea na chupa ndogo ya maji uwe unakunywa badala ya Pepsi.
Tatizo friji nimejaza soda nkitaka kunywa naiweka kwenye freezer dk chache ipate ubarid nzuri ndo nakunywa inakua inanisisimua
 
Sawa
 
Jiandae kwa diabetes mellitus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…