Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.Aisee,ila kama Pepsi baridi sikukulaumu
Umejitahidi shem, jua hili na pepsi ya bariiid, utam wake ni hatari.Ikiwa ya baridi na hili jua si unaelewa lakini?😅
Mimi namshukuru Mungu ki ukweli nimeweza....naweza maliza hata wiki sijanywa soda..Maajabu sasa nikija kuinywa chupa simalizi...
Sasa hivi nimekuwa addicted na chai jamani...Nazeeka🤣
Tujipongeze tu Shem...Umejitahidi shem, jua hili na pepsi ya bariiid, utam wake ni hatari.
Ila kwa sisi wengine inabidi tu kujitahidi manake umri wa sukari unakuja asee...
Hata mimi nimehamia kwa chai sasa, usiseme unazeeka maana najua bado, unanizeesha mimi ukisema hivyo🤣
SawaTunasema kitaalamu upo Njiapanda tukikuacha utapotea....La msingi ni moja anza kuweka nia ya kuacha viwawishi vya aina yoyote vinakupelekea ww kuzidisha uraibu wa Pepsi mfano nyumbani ondoa kabisa vinywaji vya pepsi kwa mda fulani tabia ni kama mbegu ukiweka nia vzr utafanikiwa
UlifanyajeMm niliwai kua addicted na Pepsi namna hiyo..siku hiz fresh tu ile kitu imenitoka
Kwanini unataka kuacha?Habarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
😂😂NdiyoMaji kwa wingi na juice. Inawezekana, ni maamuzi tu.
Hivi ni wewe nilikusoma una 95kg?
Addiction....Habarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Naona napoelekea sio pazurKwanini unataka kuacha?
🤣🤣🤣🤣🤣Aah mkuu 🤣🤣🤣🤣umetisha sanaNgoja siku uumwe kipepsi Pepsi upelekwe muhimbili walayhi janabi atakufinya makalioni mpaka uone muhimbili chungu
Mimi chai sio mpenz kabisaIkiwa ya baridi na hili jua si unaelewa lakini?😅
Mimi namshukuru Mungu ki ukweli nimeweza....naweza maliza hata wiki sijanywa soda..Maajabu sasa nikija kuinywa chupa simalizi...
Sasa hivi nimekuwa addicted na chai jamani...Nazeeka🤣
Sawa mkuuu nitaachaaa mwaka mzima huu 2025Ushauri acha kabisa, kuna jamaa yangu alikuwa kama wewe kila siku pepsi 4, asbh 1 mchana 2 usiku 1 leo hii anasumbuka na kisukari acha kabisa ulizaliwa nayo hayo? acha kabisa kama unajipenda
Sio pepsi ...SUKARI ni kama cocaine!Pepsi ku a kitu wanaweka kwenye soda zao aiseee zina addiction sana