Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio bzuri kwa afya, pepsi ina sukari mno, atleast 1 au 2Habarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Kunywa Coca.Habarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Hata wewe nawe una addiction na Pepsi?😬Pepsi kuna kitu wanaweka kwenye soda zao aiseee zina addiction sana
Kisukari Kinakunyemelea, Kapime sukariHabarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Ndugu yangu ngoja nikusaidie kitu, zile pepsi na kaka yake coca kama hawatii madawa ya kulevya au unga sijui,Habarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Naionea huruma mifupa yakoHabarini za mchana,
Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi.
Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku, ikaja mbili ikaja 3 now nakunywa nne kwa siku; mbili mchana na mbili usiku. Hizo mbili nakunywa kwa mpigo.
Nifanyeje ili kuacha? Pia Mimi sio mpenz wa chai asubuhi, niko radhi nile vitafunwa vikavu au na maji au soda, na usiku siwezi kulala bila kunywa maji baridi-huwa nalala na jug la maji pembeni.
Nikinywa maji baridi akili huwa inarelax, nalala kwa haraka tofaut na nisipokunywa maji. Nifanyeje?
Hata wewe nawe una addiction na Pepsi?😬
Mkuu!Kuna kipnd nilikuwa addicted na peps,,,, asbh nikipiga supu au chai napata peps, mchana after lunch peps,,, now sijaacha ila nimepunguza,,, kwa wiki naweza kunywa tatu au 2 ! Jitahd upunguze mdogo mdogo
Ooh kumbe!!! usiache kiongozi. endelea kujaza soda kwenye jaza jaza mama. usiache hadi zikuuwe😆Tatizo friji nimejaza soda nkitaka kunywa naiweka kwenye freezer dk chache ipate ubarid nzuri ndo nakunywa inakua inanisisimua
Sawa mkuuu nitapunguza leo nimekunywa moja tuuuNdugu yangu ngoja nikusaidie kitu, zile pepsi na kaka yake coca kama hawatii madawa ya kulevya au unga sijui,
Kuna miaka ilikua mimi na coca nikiikosa nasikia hata kutetemeka kabisa,
Mpaka nilipoamua kuacha baada ya mwanachama mwenzangu wa masoda kupigwa kisukari heavy, unajua ilikuaje?
Yule bwana alikua anapiga hata coca nane kwa siku hizo za kumuona bado akiwa mwenyewe ghafla akaanza kuumwa na kukonda sanaaa kuja kucheki kisukari ,
Mwanzo zitakunenepesha sana na kuongeza uzito kwa kiwango cha juu kisha zinakupiga tukio , jitahidi upunguze kisha uache kabisa
Nilishapimaga sina sukari Iko vizurKisukari Kinakunyemelea, Kapime sukari
Sijafika Iko Niko kwenye late 20'Pole, jitahidi upunguze hicho kiwango! Sio nzuri kwa afya hasa kama upo kwenye umri mkubwa kidogo(40+)
SawaKawaida tu ila jita hi idi upunguze