Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #121
SawaSio bzuri kwa afya, pepsi ina sukari mno, atleast 1 au 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaSio bzuri kwa afya, pepsi ina sukari mno, atleast 1 au 2
ni mtu kuishi ndoto zake. unaeza kukuta kabla hajajipata alikuwa anazitaka izo soda ila walezi wake wakawa wanabana. sasa kajipata hamna mambo ya breki tena. si umeona anakwambia huwa soda zinajaa kwenye friza. kwa sasa hamna namna acha anywe tu sisi tutashiriki matanga yake.Ni ulimbukeni tu
Ahsante kwa nasaha, nipepunguza sana, watu wanaonifahamu wameshangaa nimewezaje !Mkuu!
Unaharibu figo na mfumo wa mmeng'enyo wa chakula!
Nilimpoteza rafiki mwaka wa pili chuo kikuu!!alikua mnywaji sana wa pepsi!
Kunywa chai badala ya pepsi!
Binti mdogo bado, afya yako ni muhimu sana. Pumguza taratibu hadi uache, walau basi moja kwa siku inatosha sana, then hizo kilo zishuke kidogo. Jaribu kutokula usiku utashangaa matokeo yake.Sijafika Iko Niko kwenye late 20'
Nimeshaanza diet mkuuu...hii kutokula usiku unafanyaje ili usiskie njaaaBinti mdogo bado, afya yako ni muhimu sana. Pumguza taratibu hadi uache, walau basi moja kwa siku inatosha sana, then hizo kilo zishuke kidogo. Jaribu kutokula usiku utashangaa matokeo yake.
Kula vizuri asubuhi na mchana, usiku kula matunda na/au mbogamboga, kama vipi kunywa juice. Fanya hivyo kwa mda ili tumbo na mwili uzoee, baadae utashangaa tu ham ya kula usiku inapotea. Hii itasaidia saba kupunguza uzito wako. Hata mimi uzito ulipanda hadi 90s ila baada ya kuamua kuacha kula usiku nimeona tofauti kubwa.Nimeshaanza diet mkuuu...hii kutokula usiku unafanyaje ili usiskie njaaa
Sawa nitafanya iviKula vizuri asubuhi na mchana, usiku kula matunda na/au mbogamboga, kama vipi kunywa juice. Fanya hivyo kwa mda ili tumbo na mwili uzoee, baadae utashangaa tu ham ya kula usiku inapotea. Hii itasaidia saba kupunguza uzito wako. Hata mimi uzito ulipanda hadi 90s ila baada ya kuamua kuacha kula usiku nimeona tofauti kubwa.
Kwema ndugu mzima wewe.. nakusalimia.Soon utafikia stage ya kuchoma sindano za insulin sababu ya kisukar.
Sio nzuri kwa afya.. Uzito wako ukoje? Overweight, Obese or Normal?Ugonjwa wangu ndo uko hapo vile inavosisimua koo ikiwa baridiii