Mwilabheghe
Member
- Feb 14, 2018
- 30
- 14
- Thread starter
-
- #21
Soma vizur maelezo yaelewe kisha uwe na nafasi nzuri ya kujibuSasa ingekua rahisi kiasi hicho si mtu angekua anakopa pesa zake anasepa after "muda wa ukomo " anarudi anaendelea na life
Kuwa muungwana ulipe kama ambavyo aliekukopesha alikua muungwana
Soma vizur maelezo yaelewe kisha uweze kukommentSasa ingekua rahisi kiasi hicho si mtu angekua anakopa pesa zake anasepa after "muda wa ukomo " anarudi anaendelea na life
Kuwa muungwana ulipe kama ambavyo aliekukopesha alikua muungwana
read btn linesSoma vizur maelezo yaelewe kisha uweze kukomment
unataka udhulumu? Mshahara wa dhambi ni mautikesi Sawa. Sina shida na kesi coz tayari ipo kwa kort wala Sio ukomo wa kesi. Shida ni kifungu cha ukomo wa deni
Mhh! Kazi kweli kweli. Hii yote ni Kutokana mtu anasoma baada ya kuchoka badala kuchoka baada ya kusomaunataka udhulumu? Mshahara wa dhambi ni mauti
Dawa ya deni kulipakesi Sawa. Sina shida na kesi coz tayari ipo kwa kort wala Sio ukomo wa kesi. Shida ni kifungu cha ukomo wa deni
kama kweli ni hivi basi ulikuwa na right to lien..well. Kuna mtu nilikuwa nafanya nae biashara hzi za kuaminiana. Kunasehemu nilienda kumdhamini mzigo km wa million 5 hivi kwamaelezo kuwa anaenda nao Zambia. Atarudi na pesa ya mdai wake . Hakurudi. Mm ikabidi nilipe lile deni. Lkn before that alikuwa ananidai 2,700,000 aliporudi akaja na maelezo yakuwa alipata ajali na mzigo na akaanza kunidai ile hela yake. Coz yake tuliandikishana ila nilikomdhamini hatukuandikishana kanipeleka mahakamamani so Nataka nitokee hapo kwenye ukomo wa deni.
thanks uko Sawakama kweli ni hivi basi ulikuwa na right to lien..
hapo ulipoenda kilipa deni lake si kuna ushahidi kuwa ulimdhamini.
maana sio lazma kuandikishana..
Sasa ikimkuta mauti si ndio deni nalo litakuwa limefariki?!unataka udhulumu? Mshahara wa dhambi ni mauti
Wasalaam!
Naomba Msaada wa kifungu cha sheria kinaochoeleza ukomo wa madeni. Nakumbuka nimewahi kushuhudia mtu anashinda kesi Kama hii kortini kwa maelezo kuwa deni limekoma. Hakimu Akasema deni likikaa miaka mitatu hukoma kwa majibu wa sheria na kifungu alikitaja sasa nimekisahau. Naomba kukumbushwa
Umesahau kuwa hata nchi nadaiwa kabla hatujapata uhuru mkuu??Wasalaam!
Naomba Msaada wa kifungu cha sheria kinaochoeleza ukomo wa madeni. Nakumbuka nimewahi kushuhudia mtu anashinda kesi Kama hii kortini kwa maelezo kuwa deni limekoma. Hakimu Akasema deni likikaa miaka mitatu hukoma kwa majibu wa sheria na kifungu alikitaja sasa nimekisahau. Naomba kukumbushwa
fursaMwilabheghe naomba uni pm, nimewahi kuwa na kesi kama yako, na nikaishinda. Ni pm sambamba na kunitumia namba zako zako za simu nitakupigia haraka.
[emoji23][emoji23][emoji23] naam naamfursa