Niligundua shida ni simu ninayotumia ni oppo ina android ndogo kama
Alivyoelezea mdau mmoja maana Kila nikibadilisha namba nayo inakwenda na maji mbaya zaidi wakii -burn huwezi Tena kuiweka kwenye simu nyingine iwe Samsung, Infinix ,Tecno etc. mpaka nimechoka