Mkuu, mwanzoni nikikutana na mke wangu au umchepuko uume ulikuwa unasimama mara moja hata kabla ya kuona 'chakula' chake. Kwa sasa mpaka kwanza mke/mchepuko avue nguo 'chakula' kionekane ndipo uume usimame. Lakini pia nikishapiga bao la kwanza (ambalo halichukui zaidi ya dk 5), uume hulala doro. Nikitaka kupiga bado la pili (baada ya kupumzika kwa takribani saa nzima), lazima nitikse mashine au niingize ikiwa bado legelege ikasimamie humo humo ndani ya chakula chake. Kana kwamba hilo halitoshi, nikianza show ya pili ni nadra sana kumwaga kwa kuwa bao linakuwa gumu sana kutoka...yaani linakuwa kama linachungulia na kurudi...wakati huo mashine yangu na ya mwenzangu zinakuwa zinauma kutokana na friction isiyozaa matunda. Mara nyingi goli la pili simwagi...naishia tu kuvaa nguo na kuondoka. Aibu sana I see! Hapa kuna tatizo sio bure.