Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

Ndio huwa hivyo mkuu!
We kula vyakula vya asili piga mazoezi kimtindo lala mda wa kutosha halafu punguza idadi ya mechi kwa hicho kipindi unajiangalia ili uje uone km Kuna mabadiliko!


Kingine usijenge hofu pale unapokutana na mwanamke km mashine yangu itapiga kimoja then italala km kawaida!

Relax mkuu
Asante kwa ushauri kuntu mkuu. Ushauri huu nitaufanyia kazi kikamilifu
 
Mkuu, mwanzoni nikikutana na mke wangu au umchepuko uume ulikuwa unasimama mara moja hata kabla ya kuona 'chakula' chake. Kwa sasa mpaka kwanza mke/mchepuko avue nguo 'chakula' kionekane ndipo uume usimame. Lakini pia nikishapiga bao la kwanza (ambalo halichukui zaidi ya dk 5), uume hulala doro. Nikitaka kupiga bado la pili (baada ya kupumzika kwa takribani saa nzima), lazima nitikse mashine au niingize ikiwa bado legelege ikasimamie humo humo ndani ya chakula chake. Kana kwamba hilo halitoshi, nikianza show ya pili ni nadra sana kumwaga kwa kuwa bao linakuwa gumu sana kutoka...yaani linakuwa kama linachungulia na kurudi...wakati huo mashine yangu na ya mwenzangu zinakuwa zinauma kutokana na friction isiyozaa matunda. Mara nyingi goli la pili simwagi...naishia tu kuvaa nguo na kuondoka. Aibu sana I see! Hapa kuna tatizo sio bure.
Duuh pole aisee.
Kwa kifupi wewe jiamini tuu. Hofu itaendelea kukudidimiza zaidi.
 
Fanya mazoezi ya kutoa jasho,Pata chakula lishe,mboga za majani na saladi ya matunda kwa muda,achana na vilevi au kemikali yoyote kama ulikuwa unatumia kama stata katika tendo.
 
Back
Top Bottom