Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
ahaaaaAisee yani kimekuwa kama bulb
yaani nimepiga stop kwenye punyeto .vibamia vyenyewe vimeozaKwa hali hiyo bora kupiga punyeto tu ukiwa safarini.
Jamani Tusiidharau Punyeto kuliko kutafuta kifo kirahisi namna hii.
ajipunje!!!!Nenda hospital wewe...halafu kwanini hamtumii kinga?
tehe tehe wee angalia tu vizuri utaona ilivyo kaa kaaahaaaa
kumbe na wewe ulishaugua?Ukitaka upone mapema omba dokta akuandikie sindano. Ila sindano uvumilie maana ukichomwa moja tu unakaa chini kama nusu saa ndio unaanza kutembea
Chaputa hoyeeeKama nawaona CHAPUTA wanavyogonga Cheers!!... Vitu kama hivyo chaputa wanavisikia redioni tu
Ndio mkuu. Nilipata tiba na nikaachana na yule demu moja kwa mojakumbe na wewe ulishaugua?
dah nashukuru mungu mpaka umri huu sijapitia std'sNdio mkuu. Nilipata tiba na nikaachana na yule demu moja kwa moja
Omba Mungu usipatwe unachanganyikiwa.dah naghukuru mungu mpaka umri huu sijapitia std's
andika wosia kabisa,ushauvagaaNimekuwa kimya sana week iliyopita nilikuwa nimesafiri kidogo kwenda Mbeya kama kawaida ya Beberu-mpya nikamuona mtoto huyu ambae amenisabashia hii kitu, sasa jana ndo nimeona hali hii, nifanyaje?
Nimekuwa kimya sana week iliyopita nilikuwa nimesafiri kidogo kwenda Mbeya kama kawaida ya Beberu-mpya nikamuona mtoto huyu ambae amenisabashia hii kitu, sasa jana ndo nimeona hali hii, nifanyaje?
kwakweli maana kwasasa hiyo inaambatana na kupimwaa ngoma yelewiiOmba Mungu usipatwe unachanganyikiwa.