Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweliMshahara wa dhambi ni mauti.
Mbeya kakasasa je?
ukipona hapo usiache kutumia kinga ulimuokota wapo?
Dah ndg zangunu naogopa sasa kuchek na huo Ukimwi sasaNa Sindano zake zinaumaje?? Unachomwa matako yote mawl at a time, nenda mbio ukapime na viruses km vile HIV na Hepatitis..[emoji125]
Hata cjielewi ndg itakuwaje kama nikipima ngoma itakuwaje pia.Pole mkuu. Punguza kupiga kavu. Daaah. Alafu ukirudi kwa mkeo unataka alinyonye. Maaanina. Sisi wanaume sijui nani katuloga. Alafu huo mkoa unavyosifika kwa ngoma sijui ksma umenusurika
Kaka raha wapi wakati nakojoa mkojo kidogo then mwishoni naona usaha unatokaSa iv apo ukikojoa unaona rahaaaaaa!![emoji41]
wacha uongo wako haya maradhi yapo ndani ya huyu jamaa si njePaka asali mbichi Mzee hasbuhi na jioni , Unapaka dushee lote kuanzia kwenye sina mpaka kichwani, siku tatu tu Upo Sawa.
Ahsante sana mdadaPole
Ni kweli eeeeh ahsante sana kama itanisaidiaPaka asali mbichi Mzee hasbuhi na jioni , Unapaka dushee lote kuanzia kwenye sina mpaka kichwani, siku tatu tu Upo Sawa.
Poa lets me goPata ushauri wa Madaktari haraka iwezekanavyo...kama Sio Gonno.?
We acha tu kaka dushe haliwezi kulaa hata kwenye suruali hataaaakidushe kama kina govinda aisee
isee anakudanganya nenda hosspNi kweli eeeeh ahsante sana kama itanisaidia
Hata namjua wapi kaka tulikutana night na tukaachana night hata number ya simu hatukubadilishanaHakikisha unamjulisha aliyekupasia mpira huo.
Kweli kabisa ndg kama mimi ninaepaya maumivu haya ni bora iwe nafanya ivo tuuuuKwa hali hiyo bora kupiga punyeto tu ukiwa safarini.
Jamani Tusiidharau Punyeto kuliko kutafuta kifo kirahisi namna hii.
Usaha ndgHuo unaotoka ni usaha ama ni manii?