Beberu-mpya
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 216
- 106
- Thread starter
- #141
Dah kaka nimetoka kupima nimeambiwa kuwa ni Gono ila ckutaka kupima Ngoma naogopa Stess zaidiNtashukuru Mungu endapo ukipima ngoma unayo, ili uwe fundisho kwa wenzako wanaovamia hovyo hovyo.