Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 368
Nimekuwa kimya sana week iliyopita nilikuwa nimesafiri kidogo kwenda Mbeya kama kawaida ya Beberu-mpya nikamuona mtoto huyu ambae amenisabashia hii kitu, sasa jana ndo nimeona hali hii, nifanyaje?
sijui watu huwa wanatembea na watu wa sayari gani hawadah nashukuru mungu mpaka umri huu sijapitia std's
kwakwelisijui watu huwa wanatembea na watu wa sayari gani hawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]chukua wembe kata hilo dudu
hilo ndo chanzo
Aisee yani kimekuwa kama bulb
Urethral Discharge syndrome(UDS)mostly GC so adhere to health facillity for mnx.Nimekuwa kimya sana week iliyopita nilikuwa nimesafiri kidogo kwenda Mbeya kama kawaida ya Beberu-mpya nikamuona mtoto huyu ambae amenisabashia hii kitu, sasa jana ndo nimeona hali hii, nifanyaje?
CheersChaputa hoyeee