MSAADA: Nimepata mgonjwa wa ajabu nyumbani

MSAADA: Nimepata mgonjwa wa ajabu nyumbani

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Duniani kuna magonjwa mengi mengine ni psychological made. Anyway, mimi nmepokea mgeni ambaye amekuja likizo maalum. Jamaa yangu wa kitambo sana.

Ilikuja tu tokea akawa amemaliza chuo kaajiriwa sehemu akafundishwa kunywa pombe...akaja kuwa komba. Wamehangaika naye sana. Mpaka mke amechoka naye..kutumia 500,000 hadi 1,000,000 kwa mwezi ni kawaida sana kwake.

Sababu pia akinywa ananunulia sana na hao anaita washkaji. Sasa amekuja home apumzike nami nimsaidie aache pombe. Nimemwanzishia matumizi ya Grand Malt...amependa kwa siku anakata hadi vikopo vitano. Ya baridi sana.

Sasa naomba msaasa wenu. Mtu anayefanya kazi sehemu wanapotengeneza hizi.anisaidie kama watanishushia bei nije chukua cartons kadhaa. Maana vinaenda sana. Nahitaji sehemu ambayo watashusha bei zaidi ya inayouzwa maduka ya jumla..ninunue cartons nyingi. Jamaa ana week ya tatu hajanywa pombe. Na afya yake imerejea vizuri.macho yamekuwa vizuri maana yalikuwa mekundu almost everytime.

Natanguliza shukrani.
 
Duniani kuna magonjwa mengi mengine ni psychological made. Anyway, mimi nmepokea mgeni ambaye amekuja likizo maalum. Jamaa yangu wa kitambo sana.

Ilikuja tu tokea akawa amemaliza chuo kaajiriwa sehemu akafundishwa kunywa pombe...akaja kuwa komba. Wamehangaika naye sana. Mpaka mke amechoka naye..kutumia 500,000 hadi 1,000,000 kwa mwezi ni kawaida sana kwake.

Sababu pia akinywa ananunulia sana na hao anaita washkaji. Sasa amekuja home apumzike nami nimsaidie aache pombe. Nimemwanzishia matumizi ya Grand Malt...amependa kwa siku anakata hadi vikopo vitano. Ya baridi sana.

Sasa naomba msaasa wenu. Mtu anayefanya kazi sehemu wanapotengeneza hizi.anisaidie kama watanishushia bei nije chukua cartons kadhaa. Maana vinaenda sana. Nahitaji sehemu ambayo watashusha bei zaidi ya inayouzwa maduka ya jumla..ninunue cartons nyingi. Jamaa ana week ya tatu hajanywa pombe. Na afya yake imerejea vizuri.macho yamekuwa vizuri maana yalikuwa mekundu almost everytime.

Natanguliza shukrani.
Utajua kama grand malt zimemsaidia siku ukiacha kumnunulia hizo grand. Tiba ya kwanza ianze na dhamira yake binafsi kuacha pombe. Waweza pia mshirikisha mpango wa maana ambao utamchukulia pesa zake (labda pesa zake hazina matumizi mazito, hivyo zipo huru kufanywewa pombe) kiasi kwamba atazionea huruma pesa zake kuzipeleka bar... kisha taratibu kidogo kidogo ataacha.

Cheki pia kama mahusiano yake na mwandani wake kama yako sawa. Mwanamke anaweza mvuruga akili akaona akapumzikie kwenye vileo...

Kama ni wewe mwenyewe, jua unaelekea pazuri.
 
Pole mkuu kama inshu ni kutaka kuacha pombe kuna dawa ya kienyeji anayo mama mmoja yupo pale mwanza akinywa tu kwisha habari lkn kikubwa awe tayari kuacha kwa hiali yake ,watu kbao nnao wajua akiwemo Baba yangu wameacha mpaka leo kama yupo tayari kaz kwake sasa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kweli wewe chizi maarifa, hujui kwamba hata hizo grand malt zinatakiwa kunywewa kwa kiasi.......
 
Pole mkuu kama inshu ni kutaka kuacha pombe kuna dawa ya kienyeji anayo mama mmoja yupo pale mwanza akinywa tu kwisha habari lkn kikubwa awe tayari kuacha kwa hiali yake ,watu kbao nnao wajua akiwemo Baba yangu wameacha mpaka leo kama yupo tayari kaz kwake sasa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Taka hiyoydawa
 
Mtafutie watumishi wa Mungu wamwombee, hv haujui kuna mapepo yanamlazimisha mtu kunywa sana, mengine kula sana nk?
 
Back
Top Bottom