Habari,
Mimi ni mwanamke nina umri wa miaka 28 na ni mjamzito. Tatizo linalonikosesha raha ni kuwa nimepitiliza tarehe yangu ya kujifungua na hata zile wiki mbili za nyongeza zimepita.
Nimeenda hospitali jana kuonana na doctor akasema nisubiri hadi tarehe 9 then kama bado niende wakajue option gani wafanye.
Msaada ninaomba, hakuna dawa inayoweza kunipa uchungu na nikajifungua kawaida, na nini aswa tatizo la kutopata uchungu kwa wakati?
Mimi ni mwanamke nina umri wa miaka 28 na ni mjamzito. Tatizo linalonikosesha raha ni kuwa nimepitiliza tarehe yangu ya kujifungua na hata zile wiki mbili za nyongeza zimepita.
Nimeenda hospitali jana kuonana na doctor akasema nisubiri hadi tarehe 9 then kama bado niende wakajue option gani wafanye.
Msaada ninaomba, hakuna dawa inayoweza kunipa uchungu na nikajifungua kawaida, na nini aswa tatizo la kutopata uchungu kwa wakati?