kalikumutima
Senior Member
- Oct 9, 2014
- 147
- 46
Habari wataalam.
Nimebadili simu ya awali nikampa dogo.
Cha kushangaza majina yote yangu kwenye simu hii yangu Hayao isipokuwa yale ya dogo yaliyopo kwenye simu yake niliyomwachi ndo na kwenye simu yangu yanaoneka.
Msaada maana hata kwenye simu ya mwanzo siyaoni
Nimebadili simu ya awali nikampa dogo.
Cha kushangaza majina yote yangu kwenye simu hii yangu Hayao isipokuwa yale ya dogo yaliyopo kwenye simu yake niliyomwachi ndo na kwenye simu yangu yanaoneka.
Msaada maana hata kwenye simu ya mwanzo siyaoni